Watakaozimia waandaliwa dawa yao
![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzq4hG9vmOMu*uV79MbqsvoODRMt1KiYr3KUOq0NwvBqYT7c26*S*PDeYJd-tNgsTFAYK143Oia6njRssbjFJyfC/taifa.gif?width=650)
Mashabiki wa timu ya Yanga SC. Na Khadija Mngwai SHIRIKISHO la Soka Tanzania (TFF) limesema kuwa kutokana na idadi ya mashabiki waliozimia katika mechi iliyopita ya Simba dhidi ya Yanga kuwa kubwa, wameamua kuongeza magari ya wagonjwa ‘ambulance’ ikiwa ni sehemu ya kushughulikia tatizo kama hilo endapo litajitokeza katika mechi ya kesho baina ya timu hizo kwenye Uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam.… ...
GPL
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo02 Oct
JK- Wakwapuaji dawa yao inakuja
![](http://www.mwananchi.co.tz/image/view/-/2472154/highRes/842101/-/maxw/600/-/oap40dz/-/kikwete.jpg)
10 years ago
MichuziKAIMU MKURUGENZI BOHARI YA DAWA (MSD), AZUNGUMZIA UFUNGUAJI MADUKA YAO KARIBU NA WANANCHI
9 years ago
Habarileo25 Nov
Muongozo elimu bure waandaliwa
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome, amesema wizara yake inaandaa mwongozo utakaotoa maelekezo juu ya muundo, mfumo na utaratibu nyumbufu utakaohakikisha kuwa ifikapo Januari mwakani, elimu ya msingi inatolewa bila malipo.
11 years ago
Tanzania Daima08 Jul
Mbeya waandaliwa tamasha la ishara, miujiza
SHIRIKA la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden, kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Mkoa wa Mbeya, wameandaa tamasha la ishara na miujiza litakalofanyika kwenye Viwanja vya...
11 years ago
Habarileo24 Jun
Vijana 916 waandaliwa kufaidi gesi
VIJANA 916 wa Kitanzania wengi kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara, wamepewa mafunzo ya ndani na nje ya nchi zitakazokuwa na mahitaji makubwa katika sekta ya gesi. Kati ya vijana hao, vijana 668 wanatoka katika mikoa ya Lindi na Mtwara na wamepewa mafunzo ya miaka miwili ya stadi za huduma mbalimbali katika viwango vya kimataifa, katika Chuo cha Mamlaka ya Ufundi Stadi (VETA), mkoani Mtwara.
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Wajawazito waandaliwa vifaa vya kujifungulia
Na Florence Sanawa, Kilwa
WANAWAKE wajawazito wapatao 150 wananufaika na huduma ya uzazi bora katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ wilayani Kilwa mkoani Lindi, kutokana na kijiji hicho kupata mapato ya uvunaji wa misitu ambayo yanakua kila mwaka hadi kufikia milioni 90 kwenye akaunti ya kijiji hicho.
Akizungumza na MTANZANIA, Mjumbe wa Kamati ya Kijiji ya Misitu, Maimuna Hemed, alisema kutokana na kijiji kukusanya mapato yanayokuwa kutokana na utunzaji na uvunaji wa misitu, kijiji kimejipanga...
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-SMaREi8F-VE/VTdksjpG7MI/AAAAAAAAbWc/6PPo7mQ8TK4/s72-c/1.jpg)
Wapakistan 12 Wanaokabiliwa na Kesi ya Kusafirisha Dawa za Kulevya Wameomba Wapigwe Risasi Baada ya Kesi yao Kuzungushwa Kisutu ‪
![](http://2.bp.blogspot.com/-SMaREi8F-VE/VTdksjpG7MI/AAAAAAAAbWc/6PPo7mQ8TK4/s640/1.jpg)
Wengine ni Buksh Mohamed,...
11 years ago
GPLWAFANYAKAZI WA VODACOM TANZANIA WAANDALIWA FUTARI NA IDARA YA RASILIMALI WATU YA KAMPUNI HIYO
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-JjlrjOWX1qc/Vl7Knas61FI/AAAAAAADDIg/vlG__SBzO3M/s72-c/OTH_3308.jpg)
BALOZI SEFUE AWAAGIZA WATUMISHI WA UMMA KUVAA BEJI ZENYE MAJINA YAO WAWAPO KATIKA MAENEO YAO YA KAZI
![](http://2.bp.blogspot.com/-JjlrjOWX1qc/Vl7Knas61FI/AAAAAAADDIg/vlG__SBzO3M/s640/OTH_3308.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-D0qj5GQeaI4/Vl7KmA7BGHI/AAAAAAADDIY/e9jKFKxGbiM/s640/OTH_3304.jpg)
Katibu Mkuu Kiongozi Mhe. Balozi Ombeni Sefue akiwaonyesha waandishi wa Habari (hawapo pichani) beji yenye jina lake ambayo amewaagiza watumishi wa Umma kuivaa wanapokuwa katika maeneo yao ya kazi. Balozi Sefue alifanya mkutano na waandishi wa habari Ikulu jijini Dar es Salaam jana na kutoa taarifa ya Serikali kuhusu kesi ya Serious Fraud Office (SFO) dhidi ya Standard Bank.