Mbeya waandaliwa tamasha la ishara, miujiza
SHIRIKA la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden, kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste (CPCT), Mkoa wa Mbeya, wameandaa tamasha la ishara na miujiza litakalofanyika kwenye Viwanja vya...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziSumaye kubariki Tamasha la Krismas Mbeya
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-csDZAL90kRI/VI1Bms8SRsI/AAAAAAAG3FA/qRZmWdqmcKc/s72-c/images.jpg)
Sumaye kubariki Tamasha la Krismasi jijini Mbeya
![](http://3.bp.blogspot.com/-csDZAL90kRI/VI1Bms8SRsI/AAAAAAAG3FA/qRZmWdqmcKc/s1600/images.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/A8I8pebmYzq4hG9vmOMu*uV79MbqsvoODRMt1KiYr3KUOq0NwvBqYT7c26*S*PDeYJd-tNgsTFAYK143Oia6njRssbjFJyfC/taifa.gif?width=650)
Watakaozimia waandaliwa dawa yao
9 years ago
Habarileo25 Nov
Muongozo elimu bure waandaliwa
KATIBU Mkuu wa Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, Profesa Sifuni Mchome, amesema wizara yake inaandaa mwongozo utakaotoa maelekezo juu ya muundo, mfumo na utaratibu nyumbufu utakaohakikisha kuwa ifikapo Januari mwakani, elimu ya msingi inatolewa bila malipo.
11 years ago
Tanzania Daima01 Jul
Tamasha Mbeya kubadili tabia za vijana bila shuruti
SHIRIKA la Evangelical Mission SOS International kutoka Sweden kwa kushirikiana na Baraza la Makanisa ya Kipentekoste Mkoa wa Mbeya (CPCT), wameamua kubadilisha tabia za vijana bila shuruti. Katika kubadilisha tabisa...
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Wajawazito waandaliwa vifaa vya kujifungulia
Na Florence Sanawa, Kilwa
WANAWAKE wajawazito wapatao 150 wananufaika na huduma ya uzazi bora katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ wilayani Kilwa mkoani Lindi, kutokana na kijiji hicho kupata mapato ya uvunaji wa misitu ambayo yanakua kila mwaka hadi kufikia milioni 90 kwenye akaunti ya kijiji hicho.
Akizungumza na MTANZANIA, Mjumbe wa Kamati ya Kijiji ya Misitu, Maimuna Hemed, alisema kutokana na kijiji kukusanya mapato yanayokuwa kutokana na utunzaji na uvunaji wa misitu, kijiji kimejipanga...
11 years ago
Habarileo24 Jun
Vijana 916 waandaliwa kufaidi gesi
VIJANA 916 wa Kitanzania wengi kutoka mikoa ya Lindi na Mtwara, wamepewa mafunzo ya ndani na nje ya nchi zitakazokuwa na mahitaji makubwa katika sekta ya gesi. Kati ya vijana hao, vijana 668 wanatoka katika mikoa ya Lindi na Mtwara na wamepewa mafunzo ya miaka miwili ya stadi za huduma mbalimbali katika viwango vya kimataifa, katika Chuo cha Mamlaka ya Ufundi Stadi (VETA), mkoani Mtwara.
10 years ago
Michuzi20 Dec
WAIMBAJI WA TAMASHA LA KRISMAS MKOANI MBEYA WAELEZEA MAANDALIZI YAO
![1](http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/12/118.jpg)
9 years ago
MichuziTAMASHA LA MADIVA KUFANYIKA DISEMBA 4 MWAKA HUU MKOANI MBEYA