Wajawazito waandaliwa vifaa vya kujifungulia
Na Florence Sanawa, Kilwa
WANAWAKE wajawazito wapatao 150 wananufaika na huduma ya uzazi bora katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ wilayani Kilwa mkoani Lindi, kutokana na kijiji hicho kupata mapato ya uvunaji wa misitu ambayo yanakua kila mwaka hadi kufikia milioni 90 kwenye akaunti ya kijiji hicho.
Akizungumza na MTANZANIA, Mjumbe wa Kamati ya Kijiji ya Misitu, Maimuna Hemed, alisema kutokana na kijiji kukusanya mapato yanayokuwa kutokana na utunzaji na uvunaji wa misitu, kijiji kimejipanga...
Mtanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo21 Mar
Salma awataka wajawazito kujifungulia vituo vya afya
JAMII imehimizwa kuhamasisha wajawazito kujifungulia katika vituo vya afya ambako watasaidiwa na wakunga wenye ujuzi, kwa kufanya hivyo vifo vya kinamama na watoto wachanga vinavyotokana na tatizo la uzazi vitapungua.
10 years ago
Habarileo31 Jan
Uwezo mdogo wapunguza bajeti ya vifaa vya kujifungulia
SERIKALI jana imeliambia Bunge kushuka kwa bajeti ya vifaa vya kujifungulia kutoka Sh bilioni tatu mwaka 2013/14 na Sh bilioni nne mwaka 2012/13 hadi Sh bilioni 1.5 kwa 2014/15 kunatokana na uwezo wa serikali kiuchumi kuwa mdogo kuweza kukidhi mahitaji yote ya nchi.
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vWCVGbq_jfQ/VcWjhrxnW6I/AAAAAAAHvUY/kKRNHb9GT2g/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Janet Mbene akabidhi vitanda vaya kujifungulia vya thamani ya Milioni 30 ileje
![](http://1.bp.blogspot.com/-vWCVGbq_jfQ/VcWjhrxnW6I/AAAAAAAHvUY/kKRNHb9GT2g/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uuANro3wWy0/VcWjkCBmcrI/AAAAAAAHvUo/VHcwJCB5Kwk/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oRgCKenTrPA/VcWjkePOFHI/AAAAAAAHvUg/CoAYZKZ_Ehc/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hFa4JlBO_qs/VcWjkbxutTI/AAAAAAAHvUk/74wZLMdlZLk/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-5YEgIlUuWio/VnRp0W844lI/AAAAAAAAsYY/FzxdmWsnDZ4/s72-c/17.jpg)
CHINA YASAIDIA VITANDA 60 VYA KUJIFUNGULIA WAKINA MAMA KWA MKOA WA LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5YEgIlUuWio/VnRp0W844lI/AAAAAAAAsYY/FzxdmWsnDZ4/s640/17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iR5eIh20-SI/VnRpzgNXVQI/AAAAAAAAsYQ/_4mh77TAMV0/s640/18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cu9zZBMLJwA/VnRp1LZAawI/AAAAAAAAsYg/Y8Wu_9Hq2EI/s640/20.jpg)
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s72-c/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Vifaa vya tiba vya kujikinga na Corona vya magendo vyanaswa Morocco vikipelekwa Ulaya
![](https://1.bp.blogspot.com/-i1HJabJCOBg/XmK4A_hA8CI/AAAAAAALhpg/zeP9944HQP8oeH4cX3OBC-EE_mJVPZoOgCLcBGAsYHQ/s640/4bv65d957328bd1lddj_800C450.jpg)
Gazeti la al Quds al Arabi linalochapishwa London limeripoti kuwa, raia mmoja wa Uingereza amekamatwa katika uwanja wa ndege wa Agadir huko kusini magharibi mwa Morocco akijaribu kutorosha maski elfu 16 na kuzipelekea Manchester kwa njia za magendo.
Vilevile maafisa wa forodha wa Morocco wamenasa shehena nyingine iliyokuwa na vifaa vya...
5 years ago
BBCSwahili06 Mar
Coronavirus: White House yakiri Marekani haina vifaa vya kutosha vya kupima virusi vya corona
10 years ago
Habarileo14 Feb
Zanzibar kupunguza vifo vya wajawazito
RAIS wa Zanzibar, Dk Ali Mohamed Shein amesema suala la kuimarisha maisha ya jamii na kupunguza idadi ya vifo vya wajawazito na watoto wachanga ni miongoni mwa masuala muhimu.
10 years ago
Habarileo20 Jun
Sababu vifo vya wajawazito zatajwa
UKOSEFU wa nyumba za watumishi katika Sekta ya Afya hasa maeneo yenye miundombinu duni ya usafiri kunakofanya watumishi kushindwa kukaa katika maeneo hayo, kumetajwa kuwa ni moja ya mambo yanayochangia kuongeza vifo vya wajawazito na watoto.
10 years ago
Mwananchi23 Jan
Vifo vya wajawazito vyaweza kuzuilika