Uwezo mdogo wapunguza bajeti ya vifaa vya kujifungulia
SERIKALI jana imeliambia Bunge kushuka kwa bajeti ya vifaa vya kujifungulia kutoka Sh bilioni tatu mwaka 2013/14 na Sh bilioni nne mwaka 2012/13 hadi Sh bilioni 1.5 kwa 2014/15 kunatokana na uwezo wa serikali kiuchumi kuwa mdogo kuweza kukidhi mahitaji yote ya nchi.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mtanzania17 Aug
Wajawazito waandaliwa vifaa vya kujifungulia
Na Florence Sanawa, Kilwa
WANAWAKE wajawazito wapatao 150 wananufaika na huduma ya uzazi bora katika Kijiji cha Nanjilinji ‘A’ wilayani Kilwa mkoani Lindi, kutokana na kijiji hicho kupata mapato ya uvunaji wa misitu ambayo yanakua kila mwaka hadi kufikia milioni 90 kwenye akaunti ya kijiji hicho.
Akizungumza na MTANZANIA, Mjumbe wa Kamati ya Kijiji ya Misitu, Maimuna Hemed, alisema kutokana na kijiji kukusanya mapato yanayokuwa kutokana na utunzaji na uvunaji wa misitu, kijiji kimejipanga...
10 years ago
Michuzimiss tanga 2014 awasaidia vifaa vya shule wanafunzi wasio na uwezo
Shule ambazo zilipata nafasi ya kutembelewa na Mrembo huyo na kufanikiwa kupata vifaa hivyo ni ni shule ya msingi Pangani,Funguni, Mwela na shule ya msingi Mwembeni ambazo zote zinapatikana katika wilaya hiyo ya Pangani,huku vifaa...
9 years ago
StarTV30 Nov
Serikali yashauriwa kutenga bajeti ya kununua vifaa tiba ili Kupunguza Vifo Vya Watoto
SERIKALI imepewa changamoto ya kutenga fedha katika bajeti yake na kununua vifaa tiba pamoja na dawa zitakazosaidia kupunguza au kuondoa kabisa vifo vya watoto wachanga hapa nchini ambapo ripoti mbalimbali zinaonyesha mwaka jana pekee imefikia watoto elfu kumi na tatu.
Changamoto hiyo imetolewa na Taasisi ya Doris Mollel Foundation muda mfupi baada ya kukabidhi vifaa vitakavyosaidia kuokoa maisha ya watoto wachanga hususani watoto njiti katika Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Iringa.
Ndani ya...
11 years ago
Dewji Blog06 Jun
Kinana ashuhudia mchimbaji mdogo wa Tanzanite anavyosaidia wenzake kwa kuwauzia kwa bei nafuu vifaa vya uchimbaji madini Mererani
Mchimbaji mdogo wa madini ya Tanzanite kwenye machimbo ya Mererani wilayani Simanjiro, Mahmoud Karia (kulia) akimuonyesha Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahmahn Kinana vifaa vya kisasa vya uchimbaji madini hayo, ambavyo huviuza kwa wachimbaji wengine kwa gharama nafuu. Karia alipata fursa ya kuonyesha vifaa hivyo Kinana alipomtembelea kwenye eneo la machimbo la mchimbaji huyo mdogo, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na kusikiliza kero za wananchi mkoani Manyara, mapema...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s72-c/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
MASAWE AGUSIA BAJETI 2020/2021 NA KUSISITIZA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA KILIMO ILI KUENDANA NA TEKNOLOJIA YA KILIMO CHA KIDIGITAL
![](https://1.bp.blogspot.com/-CEolNwkaNTo/Xud4p7LQT3I/AAAAAAALt6Q/615-yFRQRP8Jd-nT3_nZc-XS9toxJYbVACLcBGAsYHQ/s640/IMG_20200612_144439_2%2B%25281%2529.jpg)
Aidha upande wa suala la uboreshaji wa kilimo kwa kuweka mazingira ya upatikanaji wa vifaa vya kilimo kwa gharama nafuu ikiwa ni...
10 years ago
Habarileo21 Mar
Salma awataka wajawazito kujifungulia vituo vya afya
JAMII imehimizwa kuhamasisha wajawazito kujifungulia katika vituo vya afya ambako watasaidiwa na wakunga wenye ujuzi, kwa kufanya hivyo vifo vya kinamama na watoto wachanga vinavyotokana na tatizo la uzazi vitapungua.
10 years ago
Mwananchi02 Feb
Nini tatizo kwa viungo wachezeshaji? uwezo mdogo wa kutegeneza pasi za goli
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-vWCVGbq_jfQ/VcWjhrxnW6I/AAAAAAAHvUY/kKRNHb9GT2g/s72-c/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
Janet Mbene akabidhi vitanda vaya kujifungulia vya thamani ya Milioni 30 ileje
![](http://1.bp.blogspot.com/-vWCVGbq_jfQ/VcWjhrxnW6I/AAAAAAAHvUY/kKRNHb9GT2g/s640/unnamed%2B%252817%2529.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uuANro3wWy0/VcWjkCBmcrI/AAAAAAAHvUo/VHcwJCB5Kwk/s640/unnamed%2B%252818%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-oRgCKenTrPA/VcWjkePOFHI/AAAAAAAHvUg/CoAYZKZ_Ehc/s640/unnamed%2B%252819%2529.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-hFa4JlBO_qs/VcWjkbxutTI/AAAAAAAHvUk/74wZLMdlZLk/s640/unnamed%2B%252820%2529.jpg)
9 years ago
CCM Blog![](http://1.bp.blogspot.com/-5YEgIlUuWio/VnRp0W844lI/AAAAAAAAsYY/FzxdmWsnDZ4/s72-c/17.jpg)
CHINA YASAIDIA VITANDA 60 VYA KUJIFUNGULIA WAKINA MAMA KWA MKOA WA LINDI
![](http://1.bp.blogspot.com/-5YEgIlUuWio/VnRp0W844lI/AAAAAAAAsYY/FzxdmWsnDZ4/s640/17.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-iR5eIh20-SI/VnRpzgNXVQI/AAAAAAAAsYQ/_4mh77TAMV0/s640/18.jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-Cu9zZBMLJwA/VnRp1LZAawI/AAAAAAAAsYg/Y8Wu_9Hq2EI/s640/20.jpg)