Nini tatizo kwa viungo wachezeshaji? uwezo mdogo wa kutegeneza pasi za goli
Ligi Kuu Bara imefikia raundi ya 12 lakini kubwa ambalo wengi wanajiuliza ni kwa nini washambuliaji wengi hasa wazoefu msimu huu hawafungi mabao.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MillardAyo21 Dec
Pamoja na kustaafu soka Rene Higuita bado ana uwezo wa kuokoa goli kwa style yake ya Scorpion kick (+Video)
Golikipa wa zamani wa kimataifa wa Colombia Rene Higuita ambaye amewahi kuingia katika headlines mwaka 1995 katika mechi ya kirafiki kati ya Colombia dhidi ya Uingereza kwa stahili yake ya kipekee ya uokoaji mipira kwa stahii ya “Scorpion kick” stahili ambayo hakuna kipa ambaye amewahi kuicheza kwa ufasaha na katika mechi muhimu. Kwa sasa golikipa huyo ambaye […]
The post Pamoja na kustaafu soka Rene Higuita bado ana uwezo wa kuokoa goli kwa style yake ya Scorpion kick (+Video) appeared...
10 years ago
Habarileo31 Jan
Uwezo mdogo wapunguza bajeti ya vifaa vya kujifungulia
SERIKALI jana imeliambia Bunge kushuka kwa bajeti ya vifaa vya kujifungulia kutoka Sh bilioni tatu mwaka 2013/14 na Sh bilioni nne mwaka 2012/13 hadi Sh bilioni 1.5 kwa 2014/15 kunatokana na uwezo wa serikali kiuchumi kuwa mdogo kuweza kukidhi mahitaji yote ya nchi.
10 years ago
Dewji Blog04 Feb
Tatizo la saratani ‘lipo ndani ya uwezo wetu’
Tarehe 4 ya mwezi wa pili, inatukumbusha kwamba tunapaswa kupambana na ugonjwa wa saratani, ambao ni tatizo kubwa sana duniani kwa sasa. Mwaka huu, siku hii maalum imepangwa kufikia matokeo chanya juu ya vita dhidi ya saratani, kupitia kauli mbiu inayosisitiza kuwa ufumbuzi wakutokomeza saratani upo ndani ya uwezo wetu. Kampeni ya mwaka huu 2015, Siku ya Saratani Dunia inalenga katika kuchagua kudumisha maisha yenye afya, kutoa, upimaji kwa wakati, tiba kwa watu wote na kuongeza ubora wa...
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
TRL tatizo lenu ni nini?
KUANZISHWA kwa safari fupi za treni kati ya Stesheni na Ubungo, jijini Dar es Salaam (Treni ya Mwakyembe) ni faraja kwa baadhi ya wakazi wa jiji kutokana na adha ya...
11 years ago
Mwananchi10 Jun
Anayedaiwa kuteswa kwa pasi akabidhiwa kwa wanaharakati
11 years ago
Michuzi
KAMANDA KOVA AKUTANA NA WANAHABARI KUZUNGUMZIA SWALA NA VIUNGO LA VIUNGO VYA WATU VILIVYOTUPWA



Chini ni Taarifa Rasmi iliyotolewa leo.
11 years ago
Mwananchi12 Jun
Miaka mitatu ya kuchomwa kwa pasi na kung’atwa
5 years ago
Michuzi
Watanzania kulipia gharama za pasi za kusafiria kwa kutumia Airtel Money

Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Idara ya Uhamiaji Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mohammed Bakar (kati kati) na Mdhibiti wa Pasipoti Kamishna Msaidizi Dorah Luoga (kulia) wakiwa pamoja na Mkurugenzi wa Airtel Money Isaack Nchunda wakionyesha bango baada ya pamoja kusaidia ushirikiano ambapo kwa sasa Watanzania wataweza kulipia pasipoti kwa kutumia Airtel Money.

Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Idara ya Uhamiaji Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mohammed Bakar akizungumza wakati wa kuzindua ushirikiano baina ya...
11 years ago
GPLALIYEMNG’ATA HAUSIGELI NA KUMCHOMA PASI AACHIWA KWA DHAMANA