Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Watanzania kulipia gharama za pasi za kusafiria kwa kutumia Airtel Money


Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Idara ya Uhamiaji Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mohammed Bakar (kati kati) na Mdhibiti wa Pasipoti Kamishna Msaidizi Dorah Luoga (kulia) wakiwa pamoja na Mkurugenzi wa Airtel Money Isaack Nchunda wakionyesha bango baada ya pamoja kusaidia ushirikiano ambapo kwa sasa Watanzania wataweza kulipia pasipoti kwa kutumia Airtel Money.
Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Idara ya Uhamiaji Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mohammed Bakar akizungumza wakati wa kuzindua ushirikiano baina ya...

Michuzi

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Tanzania Daima

Pasi za kusafiria kubadilishwa

IDARA ya Uhamiaji inatarajia kubadilisha pasi za kusafiria zitakazokuwa na alama zaidi za utambuzi. Akizungumza katika banda la idara hiyo lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya kimataifa ya biashara Dar...

 

10 years ago

Michuzi

TAARIFA MUHIMU - PASI YA KUSAFIRIA (TANZANIA PASSPORT)



Jumuiya inapenda kuwatangazia watanzania wa eneo la 'Washington State' na maeneo ya Idaho, Oregon.kujiandikisha kwa wingi wale wote wenye kuhitaji kuomba PASSPORT MPYA YA TANZANIA kama ifuatavyo:Siku ya mwisho kujiandikisha ni Tarehe 5/6/2015 (June 5th, 2015)Siku ya kuonana na Ofisa wa Uhamiaji kutoka Ubalozi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania kwa ajili ya maombi hayo ni Tarehe 26/6/2015 - Taarifa ya pahala itatolewa rasmi..Tafadhali wasiliana na wafuatao kujiandikisha rasmi:Emil Muta -...

 

10 years ago

Vijimambo

AFISA WA UBALOZI BI. SWAHIBA AFANIKISHA HUDUMA YA KUONGEZA MUDA PASI ZA KUSAFIRIA SEATTLE, WA

Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania Seattle wakipata picha ya kumbukumbu na Afisa wa Ubalozi Bi. Swahiba (aliyekaa kwenye kiti) alipokua Seattle jimbo la Washington kwa ajili ya kutoa huduma ya kuongeza muda kwa pasi za kusafiria za Watanzania wanaoishi jimbo hilo na majimbo jirani.Mwenyekiti wa Jumuiya ya Watanzania Seattle, Bwn. Mutta na familia yake wakisaidiwa na Afisa Ubalozi Bi. Swahiba jinsi ya kujaza fomu na utiaji wa alama za vidole kwenye karatasi kwa ukamilishaji wa kuongezeza muda...

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY


Meneja biashara wa kitengo cha  Airtel Money,  Bwn Asupya Naligingwa(kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtelkugawa gawio la faida la zaidi ya  shilingi billion 5 kwa wateja namawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima.  Pichanini Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde
KAMPUNI ya simu za mkononiya Airtel leo imetangaza kugawa zaidi ya shilingi bilioni 5 kwa watejana mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima
Uamuzi huo wa...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YATOA MIKOPO KWA MAWAKALA WA AIRTEL MONEY‏

Afisa Mkuu wa Biashara wa Airtel Tanzania, Arindam Chakrabarty (kushoto), Kamishna Msaidizi wa Wizara ya Fedha, Ridhiwan Masudi (kulia) na Mkurugenzi wa Afb Tanzania, Wayne Stocks wakionyesha bango kama ishara ya uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo kwa mawakala wa Airtel Money ijulikanayo kama ‘Timiza Mikopo kwa Wakala’, katika hafla iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice...

 

9 years ago

GPL

AIRTEL YATOA GAWIO LA TSHS BILIONI 5.3 KWA WATEJA WA AIRTEL MONEY‏

Meneja biashara wa kitengo cha Airtel Money, Bwn Asupya Naligingwa (kushoto) akiongea na waandishi wa habari wakati wa kutangaza Airtel kugawa gawio la faida la zaidi ya shilingi billion 5 kwa wateja na mawakala wake wanaotumia huduma ya Airtel Money nchi nzima. Pichani ni Afisa uhusiano wa Airtel Tanzania Bi Jane Matinde. Dar es Salaam, Jumatano 30 Septemba 2015, Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel leo imetangaza...

 

5 years ago

Michuzi

Airtel yatoa Tzs 2.6 bilioni kama faida kwa wateja wa Airtel Money

Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel,leo imetangaza kugawa faida ya jumla ya Tsh2.6 bilioni kwa wateja na mawakala wake wote wanaotumia huduma ya Airtel Money kwa kipindi cha kati ya April na Septemba 2019.

Faida itokanayo na Airtel Money ni fedha ambayo Airtel imekuwa ikizirudisha kwa wateja wake waliotumia Airtel Money kwa kila robo ya mwaka kulingana na kiwango ambacho kipo kwenye akaunti zao za Airtel Money kila siku. Kiwango hicho cha faida kwa kila salio la mteja kinatolewa pia...

 

9 years ago

Michuzi

AIRTEL YATOA MIKOPO KWA MAWAKALA WA AIRTEL MONEY

 Afisa Mkuu wa Biashara wa Airtel Tanzania, Arindam Chakrabarty(kushoto), Kamishna Msaidizi wa Wizara ya Fedha, Ridhiwan Masudi(kulia) na Mkurugenzi wa Afb Tanzania, Wayne Stocks  wakionyesha bangokama ishara ya uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo kwa mawakala waAirtel Money ijulikanayo kama ‘Timiza Mikopo kwa Wakala’, katika haflailiyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano Mallyaakizungumza wakati wa uzinduzi wa huduma mpya ya mikopo kwa...

 

11 years ago

GPL

HUDUMA YA AIRTEL MONEY HATOKI MTU HAPA YAPOKELEWA VYEMA NA WATANZANIA

Wateja wa Airtel wameipongeza kampuni ya simu za mkononi ya Airtel kupitiabidhaa na huduma zake kuhusiana na huduma ya Airtel Money kuwa ni bora nasalama nchini. Huduma hii ijulikanayo kama "Hatoki Mtu Hapa" inawawezesha wateja wa Airtel kutuma na kutoa pesa bila makato kwa kununua kifurushi cha wiki au chamwenzi cha Bure Pack  na pia kuwawezesha wateja kutuma pesa kwa nusu gharama ukilinganisha na ziwango vinavyotozwa sokoni....

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani