Pasi za kusafiria kubadilishwa
IDARA ya Uhamiaji inatarajia kubadilisha pasi za kusafiria zitakazokuwa na alama zaidi za utambuzi. Akizungumza katika banda la idara hiyo lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya kimataifa ya biashara Dar...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-X_IWm85lEDQ/VFNK5Y06bBI/AAAAAAADL70/UpE_ezkoeYU/s72-c/Tanzania%2BSeattle.jpg)
TAARIFA MUHIMU - PASI YA KUSAFIRIA (TANZANIA PASSPORT)
![](http://2.bp.blogspot.com/-X_IWm85lEDQ/VFNK5Y06bBI/AAAAAAADL70/UpE_ezkoeYU/s640/Tanzania%2BSeattle.jpg)
Jumuiya inapenda kuwatangazia watanzania wa eneo la 'Washington State' na maeneo ya Idaho, Oregon.kujiandikisha kwa wingi wale wote wenye kuhitaji kuomba PASSPORT MPYA YA TANZANIA kama ifuatavyo:Siku ya mwisho kujiandikisha ni Tarehe 5/6/2015 (June 5th, 2015)Siku ya kuonana na Ofisa wa Uhamiaji kutoka Ubalozi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania kwa ajili ya maombi hayo ni Tarehe 26/6/2015 - Taarifa ya pahala itatolewa rasmi..Tafadhali wasiliana na wafuatao kujiandikisha rasmi:Emil Muta -...
5 years ago
Michuzi![](https://1.bp.blogspot.com/-rLXTcM7Z7Sk/XmEZN5K7CBI/AAAAAAALhXk/Oh_YK8-Xpvo4I8gUpqmMTiOXeJUH7vMrwCLcBGAsYHQ/s72-c/d1608a75-4479-4edf-ac3f-6505e39afe13.jpg)
Watanzania kulipia gharama za pasi za kusafiria kwa kutumia Airtel Money
![](https://1.bp.blogspot.com/-rLXTcM7Z7Sk/XmEZN5K7CBI/AAAAAAALhXk/Oh_YK8-Xpvo4I8gUpqmMTiOXeJUH7vMrwCLcBGAsYHQ/s640/d1608a75-4479-4edf-ac3f-6505e39afe13.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Idara ya Uhamiaji Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mohammed Bakar (kati kati) na Mdhibiti wa Pasipoti Kamishna Msaidizi Dorah Luoga (kulia) wakiwa pamoja na Mkurugenzi wa Airtel Money Isaack Nchunda wakionyesha bango baada ya pamoja kusaidia ushirikiano ambapo kwa sasa Watanzania wataweza kulipia pasipoti kwa kutumia Airtel Money.
![](https://1.bp.blogspot.com/-t6DeTUVX5Ss/XmEZWrTg5HI/AAAAAAALhXo/4XBbney01QIiv6GrXF9tIIS_oRuaojHfgCLcBGAsYHQ/s640/231ec532-8228-4122-997b-c2ee77a7eea7.jpg)
Mkuu wa Kitengo cha TEHAMA Idara ya Uhamiaji Kamishna Msaidizi Mwandamizi Mohammed Bakar akizungumza wakati wa kuzindua ushirikiano baina ya...
10 years ago
Vijimambo![](http://1.bp.blogspot.com/-yoVurHFH2zU/VZDrRlFyM1I/AAAAAAADuU4/n5kp4mY0vao/s72-c/12c641dc7fdbbd135ebd70d4c2487cf0.jpg)
AFISA WA UBALOZI BI. SWAHIBA AFANIKISHA HUDUMA YA KUONGEZA MUDA PASI ZA KUSAFIRIA SEATTLE, WA
![](http://1.bp.blogspot.com/-yoVurHFH2zU/VZDrRlFyM1I/AAAAAAADuU4/n5kp4mY0vao/s640/12c641dc7fdbbd135ebd70d4c2487cf0.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-b0LOIl5n2CU/VZDrVFPl6uI/AAAAAAADuV4/mYIQpA9tWe4/s640/eea9a346d0c9ac6c2e1edbf975130565.jpg)
10 years ago
Habarileo22 Aug
Michepuo, tahasusi kubadilishwa
WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inapitia upya michepuo na tahasusi, kwa kile kilichoelezwa ni kuwezesha ufundishaji kwenda na wakati. Michepuo na tahasusi hizo mpya za kidato cha kwanza mpaka cha nne, pia na za kidato cha tano hadi sita, zitaanza kutumika katika mwaka wa masomo 2015/16.
10 years ago
Habarileo17 Dec
Wananchi wahimizwa kutunza hati za kusafiria
WATANZANIA wametakiwa kutunza hati zao za kusafiria kwani endapo zitapotea na kuchukuliwa na wahalifu wa kimataifa itasababisha wahalifu hao kuingia kwa urahisi nchini na kufanya uhalifu.
10 years ago
Tanzania Daima14 Oct
‘Kubadilishwa mitaala kunachangia kufeli’
KUBADILISHWA kwa mitaala ya kufundishia shule za Msingi na Sekondari nchini, ni miongoni mwa sababu za wanafunzi kushindwa kufanya vizuri katika mitihani yao ya kuhitimu kutokana na mkanganyiko kwenye mitaala...
11 years ago
Habarileo31 Jan
Mfumo wa kuvuna misitu kubadilishwa
WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema itabadili mfumo wa utoaji wa vibali vya uvunaji wa miti (magogo) katika misitu ya taifa nchini. Mpango wa wizara hiyo ni kutaka vibali vitolewe kwa mzunguko ili kuwanufaisha Watanzania wengi tofauti na ilivyo hivi sasa. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mahmoud Mgimwa aliyasema hayo hivi karibuni alipokuwa akizungumza na wapiga kura wake mjini Mafinga katika jimbo la Mufindi Kaskazini.
11 years ago
Tanzania Daima15 Mar
Hati ya kusafiria iliyopotea kulipiwa 200,000
IDARA ya Uhamiaji nchini imeongeza ada kwa waombaji wa hati ya kusafiria zilizopotea kutokana na kubaini kuwa wamiliki wa hati hizo wengi wao wamekuwa wakitoa taarifa za uongo ikiwa ni...
11 years ago
Mwananchi17 Jul
Sheria za migodi sasa kubadilishwa nchini