Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mfumo wa kuvuna misitu kubadilishwa

WIZARA ya Maliasili na Utalii imesema itabadili mfumo wa utoaji wa vibali vya uvunaji wa miti (magogo) katika misitu ya taifa nchini. Mpango wa wizara hiyo ni kutaka vibali vitolewe kwa mzunguko ili kuwanufaisha Watanzania wengi tofauti na ilivyo hivi sasa. Naibu Waziri wa wizara hiyo, Mahmoud Mgimwa aliyasema hayo hivi karibuni alipokuwa akizungumza na wapiga kura wake mjini Mafinga katika jimbo la Mufindi Kaskazini.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

5 years ago

Michuzi

WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA WALEZEA ULIVYOJIPANGA KUKABILI MAJANGA YA MOTO KWENYE MISITU,MASHAMBA

 Moto ukiendelea kuwaka kabla ya kuanza kuzima na ntambo wa zima moto Mtambo wa zima moto ukirusha maji umbali wa mita 100 kuzima moto uliokuwa unawaka katika eno hilo wakati wa tukio la uzinduzi wa mtambo huo uliofanyika Mlandizi mkoani Pwani Mtambo wa kuzima moto ukiendelea kutoa maji kwa ajili ya kuzima moto uliokuwa umewashwa na watumishi wa TFS kwa ajili ya kuonesha uwezo wa mtambo huo kwenye kuzima moto Watumishi wa TFS ambao wamepata mafunzo ya kuzima moto kwa kutumia mtambo huo...

 

11 years ago

Michuzi

WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) YANYA ZIARA NA WAANDISHI WA VYOMBO VYA HABARI KUJIONEA UTUNZAJI WA MISITU YA CHOME, SHENGENA-KILIMANJARO

 Meneja wa Usimamizi Endelevu wa Mazingira asilia Chome,William Nambiza akiwaonesha waandishi eneo lilillovamiwa na wachimbaji Madini na baadae walifanikiwa kuwaondoa, kwa siku walikuwa wanaingia zaidi ya 600,000 wakichanganyika na wa nchi jirani.  Waandishi wa vyombo mbalimbali vya habari waliofanya ziara ya kuona mazingira ya mto Chome ambalo ni chanzo cha maji yanayokwenda mto Saseni na kutoa maji kwa wakazi wa Same na kumwaga maji Bonde la umwagiliaji Ndungu,Ruvu na Pangani.  ...

 

9 years ago

Michuzi

NEWZ ALERT:WAZIRI WA MALIASILI PROF. JUMANNE MAGHEMBE AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI WA MIPANGO WA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA (TFS) NA MAOFISA MISITU WA MIKOA YOTE NCHINI LEO

Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza katika kikao na Idara ya Misitu na Nyuki pamoja na Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) katika ukumbi wa Ngorongoro Makao Makuu wa Wizara hiyo Mpingo House Jijini Dar es Salaam leo tarehe 05 Januari, 2015. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara hiyo Meja Jenerali Gaudence Milanzi.Waziri wa Maliasili na Utalii Prof. Jumanne Maghembe (kulia) akizungumza katika kikao na Idara ya Misitu na Nyuki pamoja na Wakala wa Huduma za...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Pasi za kusafiria kubadilishwa

IDARA ya Uhamiaji inatarajia kubadilisha pasi za kusafiria zitakazokuwa na alama zaidi za utambuzi. Akizungumza katika banda la idara hiyo lililopo kwenye maonyesho ya 38 ya kimataifa ya biashara Dar...

 

10 years ago

Habarileo

Michepuo, tahasusi kubadilishwa

WIZARA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi inapitia upya michepuo na tahasusi, kwa kile kilichoelezwa ni kuwezesha ufundishaji kwenda na wakati. Michepuo na tahasusi hizo mpya za kidato cha kwanza mpaka cha nne, pia na za kidato cha tano hadi sita, zitaanza kutumika katika mwaka wa masomo 2015/16.

 

10 years ago

Tanzania Daima

‘Kubadilishwa mitaala kunachangia kufeli’

KUBADILISHWA kwa mitaala ya kufundishia shule za Msingi na Sekondari nchini, ni miongoni mwa sababu za wanafunzi kushindwa kufanya vizuri katika mitihani yao ya kuhitimu kutokana na mkanganyiko kwenye mitaala...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wapinga kijiji chao kubadilishwa

WAKAZI wa Kijiji cha Chamakweza Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani, ambao wengi wao ni wafugaji wameweka kambi kwa muda usiojulikana wakipinga kijiji chao kuingizwa kwenye mipango mji. Wakizungumza kwa nyakati...

 

11 years ago

Mwananchi

Sheria za migodi sasa kubadilishwa nchini

Serikali inaendelea na majadiliano na wawekezaji wa migodi mikubwa nchini ili kubadilisha baadhi ya vifungu vya sheria, kanuni na sera vilivyomo katika mikataba isiyoinufaisha nchi.

 

10 years ago

BBCSwahili

Sera juu ya mateka kubadilishwa Marekani

Rais Barack Obama ametoa tamko la kubadilishwa kwa sera za nchi yake katika kubadilishana mateka ambao ni raia wake.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani