Sheria za migodi sasa kubadilishwa nchini
Serikali inaendelea na majadiliano na wawekezaji wa migodi mikubwa nchini ili kubadilisha baadhi ya vifungu vya sheria, kanuni na sera vilivyomo katika mikataba isiyoinufaisha nchi.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi11 Oct
Sheria ya madini ‘yasitisha’ uchimbaji migodi zaidi ya 400 Mirerani
Mirerani. “Sheria hii inatumika kwenye machimbo ya dhahabu na almasi siyo tanzanite ambayo inachimbwa kwa kufuatwa miamba,†anasema Mnenei.
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-yVttFYyWq_0/VXAGYDh2P8I/AAAAAAAHb38/QDXzxiDpJCI/s72-c/unnamed%2B%252874%2529.jpg)
Taasisi kutoka India yawapiga msasa wakaguzi wa migodi nchini
![](http://2.bp.blogspot.com/-yVttFYyWq_0/VXAGYDh2P8I/AAAAAAAHb38/QDXzxiDpJCI/s640/unnamed%2B%252874%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-rGVfdGsogd0/VXAGYXSpdWI/AAAAAAAHb34/zGqNE4PE6fM/s640/unnamed%2B%252875%2529.jpg)
10 years ago
Michuzi29 Jan
10 years ago
Michuzi02 Jun
KAMISHNA WA MADINI AZITAKA TAASISI ZA MAZINGIRA NCHINI KUONGEZA USHIRIKIANO KWENYE MIGODI
Na Greyson Mwase, BagamoyoTaasisi zinazohusika na usimamizi wa sheria na kanuni za mazingira zimetakiwa kushirikiana kwa karibu zaidi ili kuongeza ufanisi katika usimamizi wa mazingira migodini na kuepuka mwingiliano wa majukumu.
Wito huo umetolewa na Kamishna Msaidizi wa Madini – Ukaguzi wa Migodi Mhandisi Ally Samaje katika mahojiano maalum kwenye mafunzo yanayohusisha Makamishna Wasaidizi wa Madini, Wakaazi kutoka Wizara ya Nishati na Madini Tanzania na wataalam kutoka India yanayoendelea...
Wito huo umetolewa na Kamishna Msaidizi wa Madini – Ukaguzi wa Migodi Mhandisi Ally Samaje katika mahojiano maalum kwenye mafunzo yanayohusisha Makamishna Wasaidizi wa Madini, Wakaazi kutoka Wizara ya Nishati na Madini Tanzania na wataalam kutoka India yanayoendelea...
5 years ago
MichuziMAKAMU WA RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AFANYA KIKAO CHA DHARURA CHA HALI YA MAZINGIRA KATIKA MIGODI YOTE NCHINI
10 years ago
Mwananchi19 Sep
Wadai maboresho ya sheria sasa
Wataalamu wa sekta ya usanifu majengo na ukadiriaji wameshauri maboresho ya sheria ya ununuzi namba saba ya mwaka 2011 ili iendane na mahitaji ya sekta ya ujenzi nchini.
11 years ago
Mwananchi17 May
Mbunge ataka marekebisho ya sheria sasa
Mbunge wa Viti Maalumu, Mariam Msabaha (Chadema) ameitaka Serikali kupeleka bungeni haraka sheria ya uhujumu uchumi ili ifanyiwe marekebisho ya kuongezewa nguvu.
11 years ago
Mwananchi13 Feb
Sheria ya ndoa sasa kupigiwa kura ya maoni
Naibu Waziri wa Sheria na Katiba, Angellah Kairuki amesema kuwa Sheria ya Ndoa ya Mwaka 1971 iko kwenye mchakato wa kurekebishwa kutokana na utata unaokinzana na sheria nyingine za masuala ya kijinsia.
10 years ago
Habarileo09 Jan
Wabunge sasa kujadili sheria ajira za wageni
KAMATI za Kudumu za Bunge zinazotarajiwa kukutana Dar es Salaam kwa siku 11 kuanzia Jumanne ijayo, zinatarajiwa pamoja na mambo mengine, kujadili na kuchambua miswadi 11 ya sheria, ikiwamo ya udhibiti wa ajira za wageni.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania