Wabunge sasa kujadili sheria ajira za wageni
KAMATI za Kudumu za Bunge zinazotarajiwa kukutana Dar es Salaam kwa siku 11 kuanzia Jumanne ijayo, zinatarajiwa pamoja na mambo mengine, kujadili na kuchambua miswadi 11 ya sheria, ikiwamo ya udhibiti wa ajira za wageni.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Sheria ya ajira za wageni TZ yapitishwa
10 years ago
MichuziBunge lapitisha Muswada wa Sheria ya Kuratibu Ajira za Wageni nchini
WAZIRI wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudensia Kabaka amesoma Muswada wa Sheria ya Kuratibu Ajira za Wageni nchini wa mwaka 2014 kwa mara ya pili ikiwa muswada huu umelenga masuala mbalimbali ikiwemo mabadiliko ya kiuchumi pamoja na mahitaji ya kiteknolojia ambayo ni kichocheo kikubwa cha uhamiaji wa nguvu kazi kutoka nchi moja kwenda nyingine.
Mhe.Kabaka alisema kwa sasa zipo mamlaka nyingi zinzotoa vibali vya ajira kwa wageni kwa kuzingatia...
9 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-ojWZasMiP1M/VgmlBfCmvaI/AAAAAAAH7pc/qdw9XIxVX4k/s72-c/ss.png)
Sheria ya Kuratibu Ajira za Wageni Nchini Na.1 ya Mwaka 2015 (The Non - Citizens (Employment Regulation) Act).
![](http://1.bp.blogspot.com/-ojWZasMiP1M/VgmlBfCmvaI/AAAAAAAH7pc/qdw9XIxVX4k/s640/ss.png)
2. Sheria hii inaanzisha Mamlaka moja ya utoaji wa vibali vya ajira kwa wageni na Mamlaka hiyo ni Kamishna wa Kazi. ...
10 years ago
Habarileo11 Jun
Wabunge washauriwa kubadili sheria ya ajira
WABUNGE wameshauriwa kubadilisha sheria kuhakikisha watendaji wa kata wanaajiriwa kwenye wilaya zao badala ya Tume ya Ajira.
11 years ago
Habarileo25 Mar
Wabunge sasa kujadili hotuba za Rais, Warioba
HOTUBA iliyotolewa na Rais Jakaya Kikwete pamoja na ya Mwenyekiti wa Tume ya Mabadiliko ya Katiba, Jaji Joseph Warioba zitajadiliwa bungeni baada ya Mwenyekiti wa Bunge Maalumu la Katiba, Samuel Sitta, kuridhia ombi hilo lililotolewa na baadhi ya wajumbe.
11 years ago
Habarileo05 May
Wageni wanavyopata ajira za Watanzania
UWEPO wa vyombo mbalimbali vinavyotoa kibali cha kufanya kazi nchini, umetoa mwanya kwa wageni kuingia nchini na kuajiriwa katika nafasi za kazi, ambazo baadhi hata Watanzania wana uwezo wa kuzijaza. Mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), Rais Jakaya Kikwete alisema Serikali imebaini kuwa tatizo hilo la kutolewa kwa vibali kiholela, linatokana na vibali hivyo, kutolewa na taasisi zaidi ya moja.
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Ajira za wageni zazua mjadala bungeni
9 years ago
Mwananchi24 Dec
Serikali yatangaza ‘kuminya’ ajira za wageni
9 years ago
MichuziSERIKALI KUFANYA OPERASHENI YA KUKAGUA VIBALI VYA AJIRA KWA WAGENI