Serikali yatangaza ‘kuminya’ ajira za wageni
Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Charles Kitwanga ameagiza waajiri kote nchini kutowapa ajira wageni kwa kazi zinazoweza kufanywa na Watanzania.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
MichuziSERIKALI KUFANYA OPERASHENI YA KUKAGUA VIBALI VYA AJIRA KWA WAGENI
10 years ago
GPLSERIKALI YATANGAZA AJIRA ZA WALIMU 30,000
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-ry__wsr2F8w/VGhg800KYRI/AAAAAAAGxmQ/LT05DfCGBbQ/s72-c/Picha%2Bna%2B1.jpg)
MAHAFALI YA 49 CHUO CHA CBE YAFANA, SERIKALI YAYATAKA MAKAMPUNI KUACHA KUTOA NAFASI NYINGI ZA AJIRA KWA WAGENI
![](http://4.bp.blogspot.com/-ry__wsr2F8w/VGhg800KYRI/AAAAAAAGxmQ/LT05DfCGBbQ/s1600/Picha%2Bna%2B1.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-fbY6mNfgXPQ/VGhg9QMLkvI/AAAAAAAGxmY/9cQC8-lrW_o/s1600/Picha%2Bna%2B2.jpg)
11 years ago
Michuzi12 Mar
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA YATANGAZA AJIRA KWA WALIMU WAPYA MWAKA 2013/14
OFISI YA WAZIRI MKUU TAWALA ZA MIKOA NA SERIKALI ZA MITAA
![](https://3.bp.blogspot.com/-Twf6T849VFA/Ux61eMEbO7I/AAAAAAACrNU/wKcyjApmjL4/s1600/200px-Coat_of_arms_of_Tanzania.svg.png)
11 years ago
Habarileo05 May
Wageni wanavyopata ajira za Watanzania
UWEPO wa vyombo mbalimbali vinavyotoa kibali cha kufanya kazi nchini, umetoa mwanya kwa wageni kuingia nchini na kuajiriwa katika nafasi za kazi, ambazo baadhi hata Watanzania wana uwezo wa kuzijaza. Mwishoni mwa wiki iliyopita wakati wa Sikukuu ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), Rais Jakaya Kikwete alisema Serikali imebaini kuwa tatizo hilo la kutolewa kwa vibali kiholela, linatokana na vibali hivyo, kutolewa na taasisi zaidi ya moja.
10 years ago
BBCSwahili20 Mar
Sheria ya ajira za wageni TZ yapitishwa
10 years ago
Mwananchi19 Mar
Ajira za wageni zazua mjadala bungeni
10 years ago
Habarileo09 Jan
Wabunge sasa kujadili sheria ajira za wageni
KAMATI za Kudumu za Bunge zinazotarajiwa kukutana Dar es Salaam kwa siku 11 kuanzia Jumanne ijayo, zinatarajiwa pamoja na mambo mengine, kujadili na kuchambua miswadi 11 ya sheria, ikiwamo ya udhibiti wa ajira za wageni.
10 years ago
MichuziBunge lapitisha Muswada wa Sheria ya Kuratibu Ajira za Wageni nchini
WAZIRI wa Kazi na Ajira Mhe. Gaudensia Kabaka amesoma Muswada wa Sheria ya Kuratibu Ajira za Wageni nchini wa mwaka 2014 kwa mara ya pili ikiwa muswada huu umelenga masuala mbalimbali ikiwemo mabadiliko ya kiuchumi pamoja na mahitaji ya kiteknolojia ambayo ni kichocheo kikubwa cha uhamiaji wa nguvu kazi kutoka nchi moja kwenda nyingine.
Mhe.Kabaka alisema kwa sasa zipo mamlaka nyingi zinzotoa vibali vya ajira kwa wageni kwa kuzingatia...