Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Sheria ya madini ‘yasitisha’ uchimbaji migodi zaidi ya 400 Mirerani

Mirerani. “Sheria hii inatumika kwenye machimbo ya dhahabu na almasi siyo tanzanite ambayo inachimbwa kwa kufuatwa miamba,” anasema Mnenei.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Michuzi

wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani kupinga kufungiwa migodi yao

Wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wanatarajia kuandamana kwa amani ili kupinga migodi yao 19 inayopakana na kampuni ya TanzaniteOne kufungiwa.  Mwanachama wa chama cha wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite (Marema) Tawi la Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Omary Mandari akizungumza kwenye mkutano wao ambapo waliazimia kuandamana kwa amani kupinga migodi yao 19 kusimamishwa kufanya kazi. Mwanachama wa...

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge alia na Serikali kuifungia migodi ya Mirerani

Mbunge wa Jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka ameiambia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuwa hali ya uchumi kwa wakazi wa Mirerani imedorora baada ya migodi 19 kusimamishwa kuchimba madini ya Tanzanite.

 

9 years ago

StarTV

Migodi 12 yasimamisha uchimbaji Mererani

Jumuiya ya Wachimbaji wadogo katika Migodi ya Mererani eneo maarufu kwa uchimbaji wa Madini ya Tanzanite imesimamisha shughuli za uchimbaji kutokana na migogoro kati yao na Mwekezaji wa kampuni ya Tanzanite One ambaye ni mwekezaji mkubwa zaidi kwenye eneo hilo.

Matukio ya mwingiliano wa ndani ya migodi maarufu kama “MTOBOZANO” katika eneo la Mererani yamekuwa yakiibua mivutano na athari za aina mbalimbali kwa wachimbaji wa pande zote.

Wachimbaji hao wamelalamikia kampuni ya Tanzanite One...

 

10 years ago

Michuzi

BENKI YA DUNIA NA SERIKALI IKISHIRIKIANA NA WAWEKEZAJI WAKUBWA WA MADINI WAZINDUA MRADI WA UCHIMBAJI MADINI KWA WACHIMBAJI WADOGO WADOGO MKOANI GEITA.

Naibu Waziri wa Nishati na Madini Mh,Stephen Masele akizungumza kwenye uzinduzi huo uliovuta hisia za wanakijiji wengi.Naibu Waziri wa Nishati na Madini akizungumza na Wananchi Mkurugenzi Mtendaji wa Geita Gold Mine,Michael Van Anen Mwakilishi Mwandamizi kutoka Benki ya Dunia ambaye pia ni mtaalamu wa madini kutoka idara ya nishati endelevu nchini Marekani,Bwa.Mamadou Barry akizungumza wakati wa uzinduzi wa mradi mkubwa wa uchimbaji madini kwa wachimbaji wadogo wadogo katika kijiji cha...

 

10 years ago

Habarileo

Madini wafikiria kuwasaidia Mirerani

Kamishna wa Madini, Wizara ya Nishati na Madini Mhandisi Paul Masanja WIZARA ya Nishati na Madini inaangalia uwezekano wa kuwafidia wamiliki wa wachimbaji wadogo wa machimbo ya madini ya tanzanite yaliyoko Mirerani, Simanjiro mkoani Manyara baada ya kuunguliwa kwa kambi zao 16 ya uchimbaji wa madini hayo.

 

11 years ago

Mwananchi

Utata wagubika wizi wa madini Mirerani

Wingu jeusi limetanda katika sakata la watu wasiofahamika kupora kilogramu 15 za madini aina ya Tanzanite yenye zaidi ya thamani ya kiasi cha Sh10 bilioni katika mgodi wa Tanzanite One Mining Limited (TML), uliopo Mirerani baada ya gari maalumu lililokuwa limetengwa kupakia madini hayo kuharibika siku moja kabla ya tukio.

 

10 years ago

Mwananchi

Leseni uchimbaji madini zafutwa

Wakala wa Ukaguzi wa Madini Tanzania (TMAA), umesitisha utoaji wa leseni za uchimbaji madini ya ujenzi katika Jiji la Dar es Salaam ili kuokoa mazingira.

 

10 years ago

Habarileo

Leseni sita za uchimbaji madini zatolewa

SERIKALI imesema kuwa leseni zote za madini zikiwemo za utafiti, uchimbaji na zile za kuhodhi maeneo, zitakaguliwa baada ya miezi sita baada ya kutolewa kwa wamiliki ili kuhakikisha kuwa maeneo yaliyoombewa leseni, yanaendelezwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali yapiga ‘stop’ uchimbaji madini

Wizara ya Maliasili na Utalii, imepiga marufuku uchimbaji wa madini ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Ziwa Manyara.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani