Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Mbunge alia na Serikali kuifungia migodi ya Mirerani

Mbunge wa Jimbo la Simanjiro mkoani Manyara, Christopher Ole Sendeka ameiambia Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini kuwa hali ya uchumi kwa wakazi wa Mirerani imedorora baada ya migodi 19 kusimamishwa kuchimba madini ya Tanzanite.

Mwananchi

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Mwananchi

Sheria ya madini ‘yasitisha’ uchimbaji migodi zaidi ya 400 Mirerani

Mirerani. “Sheria hii inatumika kwenye machimbo ya dhahabu na almasi siyo tanzanite ambayo inachimbwa kwa kufuatwa miamba,” anasema Mnenei.

 

9 years ago

Michuzi

wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite Mji mdogo wa Mirerani kupinga kufungiwa migodi yao

Wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite wa Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, wanatarajia kuandamana kwa amani ili kupinga migodi yao 19 inayopakana na kampuni ya TanzaniteOne kufungiwa.  Mwanachama wa chama cha wachimbaji wadogo wa madini ya Tanzanite (Marema) Tawi la Mji mdogo wa Mirerani Wilayani Simanjiro Mkoani Manyara, Omary Mandari akizungumza kwenye mkutano wao ambapo waliazimia kuandamana kwa amani kupinga migodi yao 19 kusimamishwa kufanya kazi. Mwanachama wa...

 

11 years ago

Mwananchi

Mbunge wa Chadema alia

>Mbunge wa Viti Maalum wa Chadema, Rose Kamili amedai kupigwa na kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati walipomkamata na kumshikilia kwa muda kwa tuhuma za kutoa rushwa.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge Mwambalaswa alia na wanasiasa

Mbunge wa Chunya, Victor Mwambalaswa amesema Katiba inayoendelea kutumika nchini ya mwaka 1977 ina kasoro, ndiyo maana inaundwa mpya.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge Sugu alia Dodoma, Faiza amwaga chozi Dar

Jana ilikuwa siku ya aina yake kwa msanii Faiza Ally na mzazi mwenzake, Mbunge wa Mbeya Mjini, Joseph Mbilinyi ‘Sugu’. Wakati Faiza akimwaga chozi katika chumba cha habari katika gazeti la Mwananchi alipofika kutoa ujumbe wa kuomba radhi kutokana na vazi la kitenge lenye kambakamba alilovaa siku ya Tamasha la Tuzo za Muziki za Kilimanjaro, Sugu alimwaga chozi bungeni Dodoma alipowataka wabunge wasijadili mambo yake ya faragha.

 

11 years ago

Michuzi

Serikali yapiga marufuku ajira za watoto kwenye migodi

Na Greyson  Mwase, Tarime
Naibu Waziri wa Nishati na Madini anayeshughulikia madini Stephen Masele amekemea vikali tabia ya wamiliki wa migodi  kuajiri watoto wenye umri wa chini ya miaka 18  kwani inarudisha maendeleo ya watoto hao na kwa jamii kwa ujumla inayowategemea
Waziri Masele ameyasema hayo kwenye ufunguzi wa semina iliyoshirikisha wachimbaji wadogo, madiwani, viongozi wa vijiji, wilaya, madiwani pamoja na viongozi wa vyama  vya siasa inayoendelea katika jimbo la Mwibara wilaya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mwekezaji Kiwanda cha Mponde alia na serikali

 HIVI karibuni, Waziri Mkuu Mizengo Pinda wakati akizungumza na wakazi wa Tanga kwenye mkutano wa hadhara, amesema suluhu ya mgogoro kati ya mwekezaji wa Kiwanda cha Mponde Tea Estate Ltd...

 

9 years ago

Michuzi

Mwanasheria Mkuu wa Serikali alia na mtuhumiwa wa madawa ya kulevya

Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), George Masaju amewasilisha waraka Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam akitaka kushikiliwa na kuzuiwa kwa mali zote za mtuhumiwa wa madawa ya kulevya, aliyejulikana kwa jina la Muharami Abdallah, maarufu kwa jina la Chonji na mkewe, Mwalibora Nyanguri kuhamisha umiliki, kupangisha au kuombea mikopo.
Maombi hayo dhidi ya Muharami na mkewe yaliwasilishwa kwa hati ya dharura mahakamani hapo Septemba 13, mwaka huu mbele ya Jaji Wilfred...

 

10 years ago

Michuzi

Wasira aagiza wadau wa Sukari kuingiza sokoni bidhaa hiyo badala ya kuifungia ghalani

 Waziri wa Kilimo Chakula na Ushirika Mhe Stephen Masatu Wasira amekutana na wadau wa sukari na kutoa tamko la serikali kuhusiana na kupanda kwa ya sukari hapa nchini. Mhe Wasira amewaagiza wazalishaji na wafanya biashara wa sukari hapa nchini kuingiza sukari sokoni badala ya kuiweka kwenye maghala ili kushusha bei ya bidhaa hiyo muhimu  Agizo hili la waziri limekuja muda mfupi baada ya kupanda ghafla kwa bei ya sukari kutoka shilingi 1700/= iliyokuwa ikiuzwa awali hadi shilingi 3000 kwa...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani