Mbunge wa Chadema alia
>Mbunge wa Viti Maalum wa Chadema, Rose Kamili amedai kupigwa na kufanyiwa vitendo vya udhalilishaji na wafuasi wa Chama cha Mapinduzi (CCM) wakati walipomkamata na kumshikilia kwa muda kwa tuhuma za kutoa rushwa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi26 Sep
Mbunge Mwambalaswa alia na wanasiasa
10 years ago
Mwananchi30 Oct
Mbunge alia na Serikali kuifungia migodi ya Mirerani
10 years ago
Mwananchi27 Jun
Mbunge Sugu alia Dodoma, Faiza amwaga chozi Dar
10 years ago
Michuzi03 Mar
CHADEMA Red Brigade wala kiapo Mwanza mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe
![](https://3.bp.blogspot.com/-C0hrD70_tH8/VPROrVS30TI/AAAAAAADQM8/u5GW31g2XY0/s1600/red%2Bbrigade2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-5MF9SQCARvw/VPROrEsFwPI/AAAAAAADQM4/lo1kQV44FSI/s1600/Lwakatare.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Mbunge CHADEMA atekwa
HUKUMU ya wagombea ubunge wa Jimbo la Kalenga inatarajiwa kujulikana leo baada ya wakazi wake kupiga kura za kumchagua mbunge. Uchaguzi huo unafanyika kutokana na kifo cha William Mgimwa, aliyefariki...
10 years ago
Raia Tanzania27 Jul
Mbunge Chadema abwagwa
MBUNGE anayemaliza muda wake, Salvatory Machemli, amekuwa Mbunge wa kwanza wa jimbo kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kubwagwa kwenye kura za maoni zinazoendelea ndani ya chama hicho.
Machemli, aliyekuwa Mbunge wa Ukerewe mkoani Mwanza, alijikuta akishindwa kupata kura za kutosha katika uchaguzi huo uliofanyika juzi mjini Nansio, Ukerewe.
Awali, uongozi wa Chadema Makao Makuu ulikuwa na mapendekezo kwamba wabunge wa majimbo wa chama hicho wapite bila kupingwa na...
11 years ago
Mwananchi07 Aug
Mbunge Chadema atinga bungeni
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Mbunge ajivua uanachama Chadema
11 years ago
Habarileo28 Jan
Chadema wamfagilia Mbunge CCM
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), kimepongeza kazi zinazofanywa na Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani katika kutatua kero za wananchi sanjari na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.