Mbunge Chadema abwagwa
MBUNGE anayemaliza muda wake, Salvatory Machemli, amekuwa Mbunge wa kwanza wa jimbo kutoka Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kubwagwa kwenye kura za maoni zinazoendelea ndani ya chama hicho.
Machemli, aliyekuwa Mbunge wa Ukerewe mkoani Mwanza, alijikuta akishindwa kupata kura za kutosha katika uchaguzi huo uliofanyika juzi mjini Nansio, Ukerewe.
Awali, uongozi wa Chadema Makao Makuu ulikuwa na mapendekezo kwamba wabunge wa majimbo wa chama hicho wapite bila kupingwa na...
Raia Tanzania
Habari Zinazoendana
10 years ago
Michuzi03 Mar
CHADEMA Red Brigade wala kiapo Mwanza mbele ya Mwenyekiti wa Chadema na Mbunge wa Hai Freeman Mbowe
![](https://3.bp.blogspot.com/-C0hrD70_tH8/VPROrVS30TI/AAAAAAADQM8/u5GW31g2XY0/s1600/red%2Bbrigade2.jpg)
![](https://4.bp.blogspot.com/-5MF9SQCARvw/VPROrEsFwPI/AAAAAAADQM4/lo1kQV44FSI/s1600/Lwakatare.jpg)
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/sTg6vyO*vvESqwPUSBFXwXCXmQ7YDU*hx5Q4WMcUQcuOweLTcsVB3hzojsilbUePlf*EjEkqg1wmhJS*seUB1V7KS2xM5Ddb/wastaracopy.jpg?width=650)
WASTARA ACHUMBIWA, ABWAGWA
11 years ago
Tanzania Daima01 Jun
Joyce Banda abwagwa rasmi Malawi
HATIMAYE Profesa Peter Mutharika ameapishwa rasmi jana kuwa Rais wa Malawi baada ya kumbwaga aliyekuwa Rais wa nchi hiyo, Joyce Banda. Licha ya kucheleweshwa matokeo ya uchaguzi uliogubikwa na madai...
11 years ago
Mwananchi17 Mar
Mbunge wa Chadema alia
11 years ago
Tanzania Daima16 Mar
Mbunge CHADEMA atekwa
HUKUMU ya wagombea ubunge wa Jimbo la Kalenga inatarajiwa kujulikana leo baada ya wakazi wake kupiga kura za kumchagua mbunge. Uchaguzi huo unafanyika kutokana na kifo cha William Mgimwa, aliyefariki...
11 years ago
Habarileo09 May
Mbunge Chadema aduwaza wenzake
MBUNGE wa Viti Maalumu, Leticia Nyerere (Chadema) ameeleza kufurahishwa na Serikali kwa kufanyia kazi maombi yote ambayo amekuwa akiyawasilisha bungeni, miongoni mwake ikiwa ni pamoja na wananchi wa Kwimba kupatiwa huduma za kijamii.
11 years ago
Habarileo28 Jan
Chadema wamfagilia Mbunge CCM
CHAMA Cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), kimepongeza kazi zinazofanywa na Mbunge wa Jimbo la Korogwe Vijijini, Stephen Ngonyani katika kutatua kero za wananchi sanjari na utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Mbunge ajivua uanachama Chadema