Mbunge ajivua uanachama Chadema
Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi ametangaza kujivua uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mwapachu.jpg)
MWAPACHU AJIVUA UANACHAMA CCM
Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Juma Mwapachu leo ametangaza rasmi kujivua uanachama ndani ya CCM bila kusema anaelekea chama gani huku akidai kuwa, CCM imepoteza dira.
10 years ago
MichuziMbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi ametangaza kujivua uanachama wa CHADEMA
akizungumza na waandishi wa habari.
Picha ya maktaba.Akizungumza mjini Mpanda katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, jana Mhe Saidi Arfi aliwaeleza wananchi wa Mpanda kuwa uanachama wake ndani ya CHADEMA utakoma mara tu baada ya kuvunjwa Bunge Julai 9.Pia, alitumia mkutano huu kuwaaga wananchi wa jimbo hilo akisema hatagombea tena nafasi hiyo aliyoitumikia kwa miaka kumi. Mhe. Arfi alifafanua kuwa hayuko tayari...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-iQ6E7KpUEew/VQwwur3Vt0I/AAAAAAAHLp0/3QgR5XuY8kY/s72-c/zitto.jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BuynWn8MXPY/VP67CPOBb4I/AAAAAAAAfP4/vO1fN6G0wFY/s72-c/zitto.jpg)
ZITTO AVULIWA RASMI UANACHAMA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BuynWn8MXPY/VP67CPOBb4I/AAAAAAAAfP4/vO1fN6G0wFY/s640/zitto.jpg)
Katika maamuzi hayo ya Mahakama kuu ya Tanzania leo...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLQ-NeKfBjZ8PlQh1KGGfLSk3Z4D64Ktq92BeFYzr7yw-eFq9qeHZozLauGod6RMxrP5C22WX-gM1qAIym2*x25T/ZITTOKABWETABORA1.jpg)
ZITTO KABWE AVULIWA UANACHAMA CHADEMA
Mwanasheria Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ametangaza kuvuliwa rasmi uanachama kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Mhe. Zitto Kabwe baada ya Mahakama Kuu ya Tanzania Kanda ya Dar es Salaam kutupilia mbali pingamizi la mbunge huyo la kuzuia asijadiliwe. "Kwa mujibu wa katiba ya chama cha CHADEMA, mwanachama yoyote anapofungua kesi mahakamani dhidi ya chama chake, endapo atashindwa katika kesi hiyo...
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
DK KITILA, MWIGAMBA WAVULIWA UANACHAMA CHADEMA
Dk.Kitila Mkumbo aliyetimuliwa uanachama Chadema. Samson Mwigamba ambaye naye amevuliwa uanachama wa Chadema. KAMATI Kuu ya Chadema iliyokutana Januari 3-4, 2014 katika Ukumbi wa Mbezi Garden, jijini Dar es Salaam imeamua kuwavua uanachama Dk. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba kuanzia jana. Maamuzi hayo ni baada ya kunasa mawasiliano mbalimbali ya Zitto Kabwe na washirika wake akiwemo anayejulikana kwa… ...
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Zitto Kabwe avuliwa rasmi uanachama chadema
Tundu Lisu atangaza kuvuliwa rasmi uanachama kwa Zitto Kabwe chadema
10 years ago
Mwananchi28 Jul
Lowassa ajiunga rasmi na Ukawa, akabidhiwa kadi ya uanachama Chadema
Lowassa ametangaza uamuzi huo leo katika mkutano na waandishi wa habari uliofanyika katika Hoteli ya Bahari Beach jijini Dar
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania