DK KITILA, MWIGAMBA WAVULIWA UANACHAMA CHADEMA
![](http://api.ning.com/files/iC8gEB0kF6mBd7r6*8rSsXekJ*wCwi-bk9AUNlcLhatBnZpnFwCzLv2fq73rgAc5qaguKf20Ho7tClSIM8vg93ZfQThCBOFE/13.gif)
Dk.Kitila Mkumbo aliyetimuliwa uanachama Chadema. Samson Mwigamba ambaye naye amevuliwa uanachama wa Chadema. KAMATI Kuu ya Chadema iliyokutana Januari 3-4, 2014 katika Ukumbi wa Mbezi Garden, jijini Dar es Salaam imeamua kuwavua uanachama Dk. Kitila Mkumbo na Samson Mwigamba kuanzia jana. Maamuzi hayo ni baada ya kunasa mawasiliano mbalimbali ya Zitto Kabwe na washirika wake akiwemo anayejulikana kwa… ...
GPL
Habari Zinazoendana
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Chadema yawatimua Dk Kitila, Mwigamba
10 years ago
Habarileo06 Jan
Bado tupo na Profesa Kitila, Mwigamba — ACT
CHAMA cha Siasa cha Mabadiliko na Uwazi (ACT-Tanzania) kimesema mkutano wa iliyojiita Kamati Kuu ya chama hicho na kutengua uongozi na uanachama wa Katibu Mkuu, Samson Mwigamba na Mshauri wa chama hicho, Profesa Kitila Mkumbo, haukuwa na uhalali.
9 years ago
MichuziMWIGAMBA AMCHUKULIA FOMU YA URAIS KITILA MKUMBO-ACT WAZALENDO
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-TBTtHJXa-xQ/VaBsK2GlGTI/AAAAAAAATIA/54nL_gbOBvo/s72-c/10406768_847430768637571_4306938687360913185_n.jpg)
WALIOTUHUMIWA MAMLUKI CHADEMA WAVULIWA UONGOZI.
![](http://4.bp.blogspot.com/-TBTtHJXa-xQ/VaBsK2GlGTI/AAAAAAAATIA/54nL_gbOBvo/s640/10406768_847430768637571_4306938687360913185_n.jpg)
Na Bryceson Mathias, Kilosa.NGUVU ya Umma ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Kata ya Ruaha, Jimbo la Mikumi, Wilaya ya Kilosa, Morogoro, wamewavua Uongozi waliokuwa Viongozi wao na kuweka Kamati ya Muda (Task Force), kwa madai ya kuwa Mamluki ndani ya Chama chao.
Waliovuliwa Uongozi na kubaki na Uanachama ni pamoja na aliyekuwa Mwenyekiti wa Kata, George Banda, Katibu, Ally Mponda, Katibu Mwenezi, William Temu, Mweka Hazina, Aurelia Mnunga, na Mjumbe wa Kamati Tendaji, Mwalimu...
10 years ago
Mwananchi06 Jul
Mbunge ajivua uanachama Chadema
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/640cdJ4qjLQ-NeKfBjZ8PlQh1KGGfLSk3Z4D64Ktq92BeFYzr7yw-eFq9qeHZozLauGod6RMxrP5C22WX-gM1qAIym2*x25T/ZITTOKABWETABORA1.jpg)
ZITTO KABWE AVULIWA UANACHAMA CHADEMA
10 years ago
Vijimambo![](http://2.bp.blogspot.com/-BuynWn8MXPY/VP67CPOBb4I/AAAAAAAAfP4/vO1fN6G0wFY/s72-c/zitto.jpg)
ZITTO AVULIWA RASMI UANACHAMA CHADEMA
![](http://2.bp.blogspot.com/-BuynWn8MXPY/VP67CPOBb4I/AAAAAAAAfP4/vO1fN6G0wFY/s640/zitto.jpg)
Katika maamuzi hayo ya Mahakama kuu ya Tanzania leo...
10 years ago
Mwananchi10 Mar
Zitto Kabwe avuliwa rasmi uanachama chadema