Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


MWAPACHU AJIVUA UANACHAMA CCM

Kada wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, Balozi Juma Mwapachu leo ametangaza rasmi kujivua uanachama ndani ya CCM bila kusema anaelekea chama gani huku akidai kuwa, CCM imepoteza dira.

GPL

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Balozi Juma Mwapachu ajitoa uanachama CCM

Aliyewahi kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki na Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Balozi Juma Mwapachu leo ametangaza kujivua uanachama wa chama hicho kutokana na chama kupoteza dira.

 

9 years ago

Vijimambo

BALOZI JUMA MWAPACHU KUJIVUA RASMI UANACHAMA CCM KESHO

NAJIVUA UANACHAMA WA CCMNdugu zangu,
Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha yangu ambayo yanahusu uanasiasa wangu. Mimi ni mwanachama wa CCM tangu mwaka 1967 wakati nilipojiunga na TANU Youth League. Nimepata fursa ya kuwa kiongozi ndani ya Chama hiki. Lakini kuanzia kesho mimi si mwanachama wa CCM tena. Natoa...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM

Juma Mwapachu Ndugu zangu, Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha […]

The post TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM appeared first on Mzalendo.net.

 

10 years ago

Mwananchi

Mbunge ajivua uanachama Chadema

Mbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi ametangaza kujivua uanachama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema).

 

9 years ago

Mtanzania

ajivua lawama urais CCM

Jakaya-Kikwete1Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais Jakaya Kikwete ameanza kujivua lawama kuhusu mchakato wa urais baada ya kusema mwanachama yeyote wa chama hicho anayetoka kwa sasa anafanya hivyo kwa hiari na mapenzi yake.

Ametoa kauli hiyo huku kukiwa na wimbi la makada wa CCM wakihama chama hicho kwa madai ya kutoridhishwa na mchakato wa kumpata mgombea urais

Kikwete amesema uamuzi huo ulifanyika kwa mujibu wa Katiba ya CCM na zilipigwa kura ndani ya...

 

9 years ago

Mzalendo Zanzibar

Breaking News: Sumaye Ajivua CCM rasmi na kujiunga n UKAWA

Habari tulizozipata live kutoka kituo cha ITV ni kwamba Waziri wa zamani wa serikali ya Mkapa, ameamua rasmi kujitoa CCM baada ya kutotendewa haki na chama hicho. ” Sijiungi na upinzani kwa maslahi binafsi,sitaki cheo,sijachukua pesa, […]

The post Breaking News: Sumaye Ajivua CCM rasmi na kujiunga n UKAWA appeared first on Mzalendo.net.

 

9 years ago

Mtanzania

Mwapachu arudisha kadi ya CCM, Tanu

IMG_9794NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM

ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu, amerejesha rasmi kadi za Chama cha Tanu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Kadi hizo alizirudisha katika ofisi za chama hicho zilizopo eneo la Mikocheni A jijini Dar es Salaam jana na kuzikabidhi kwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Kata ya Mikocheni, Sudi Odemba.

Mwapachu ambaye ni kada mkongwe wa chama hicho, alisema kadi ya Tanu yenye namba 819820 aliipata Aprili 6,...

 

9 years ago

IPPmedia

CCM strategist Mwapachu also throws in the towel.


Voice of America
CCM strategist Mwapachu also throws in the towel.
IPPmedia
One of the ruling CCM's key strategists, Juma Volter Mwapachu yesterday announced to quit the party, joining other high-profile CCM members who have deserted the 54-year-old party. Mwapachu, who is former Secretary General of the East African ...
Lowassa pledges to step up JKT recruitmentDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
In Tanzania, No Shortage of Surprises as Poll NearsVoice of America
Why...

 

9 years ago

TheCitizen

Ambassador Juma Mwapachu quits CCM

Former East Africa Community secretary General, Mr Juma Mwapachu has announced on Tuesday that from tomorrow he is no longer a Chama cha Mapinduzi (CCM) member in protest of how the party nominated its presidential candidate.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani