BALOZI JUMA MWAPACHU KUJIVUA RASMI UANACHAMA CCM KESHO
NAJIVUA UANACHAMA WA CCMNdugu zangu,
Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha yangu ambayo yanahusu uanasiasa wangu. Mimi ni mwanachama wa CCM tangu mwaka 1967 wakati nilipojiunga na TANU Youth League. Nimepata fursa ya kuwa kiongozi ndani ya Chama hiki. Lakini kuanzia kesho mimi si mwanachama wa CCM tena. Natoa...
Vijimambo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mzalendo Zanzibar14 Oct
TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM
Juma Mwapachu Ndugu zangu, Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha […]
The post TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM appeared first on Mzalendo.net.
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Balozi Juma Mwapachu ajitoa uanachama CCM
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/0JM2umRWL9c5*5AOU99RsYu5J3RLb2BH5udi5ixnYOxSsGlSZk6sfo-q4w9JJFImMAg*Fwk-T1qf-qsuwaOgqkQIEzYcCvqB/Mwapachu2.jpg?width=650)
BALOZI MWAPACHU ARUDISHA RASMI KADI YA CCM
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mwapachu.jpg)
MWAPACHU AJIVUA UANACHAMA CCM
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Wasomi wataka CCM ijihoji Kingunge kujivua uanachama
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rcdz9LioWeE/VQaBnHnQzRI/AAAAAAAHKpg/09yGkNBiBhk/s72-c/unnamedmm.jpg)
Balozi Juma Mwapachu awa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi Airtel Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-rcdz9LioWeE/VQaBnHnQzRI/AAAAAAAHKpg/09yGkNBiBhk/s1600/unnamedmm.jpg)
Balozi Mwapachu ni Katibu Mkuu aliyepita wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, nafasi aliyoishika kati ya Aprili 2006 na Aprili 2011. Kabla ya uteuzi huu, Mwapachu alikuwa Balozi Mwakilishi Ufaransa na UNESCO.
Mwapachu ni mhitimu wa shahada ya...
9 years ago
TheCitizen13 Oct
Ambassador Juma Mwapachu quits CCM
10 years ago
MichuziMbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi ametangaza kujivua uanachama wa CHADEMA
akizungumza na waandishi wa habari.
Picha ya maktaba.Akizungumza mjini Mpanda katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, jana Mhe Saidi Arfi aliwaeleza wananchi wa Mpanda kuwa uanachama wake ndani ya CHADEMA utakoma mara tu baada ya kuvunjwa Bunge Julai 9.Pia, alitumia mkutano huu kuwaaga wananchi wa jimbo hilo akisema hatagombea tena nafasi hiyo aliyoitumikia kwa miaka kumi. Mhe. Arfi alifafanua kuwa hayuko tayari...
9 years ago
Mwananchi26 Nov
Balozi Mahiga akabidhiwa mikoba ya Balozi Mwapachu