Ambassador Juma Mwapachu quits CCM
Former East Africa Community secretary General, Mr Juma Mwapachu has announced on Tuesday that from tomorrow he is no longer a Chama cha Mapinduzi (CCM) member in protest of how the party nominated its presidential candidate.
TheCitizen
Habari Zinazoendana
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Balozi Juma Mwapachu ajitoa uanachama CCM
9 years ago
Vijimambo14 Oct
BALOZI JUMA MWAPACHU KUJIVUA RASMI UANACHAMA CCM KESHO
![](https://pbs.twimg.com/profile_images/486463319893499904/q7fom1nR.jpeg)
Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha yangu ambayo yanahusu uanasiasa wangu. Mimi ni mwanachama wa CCM tangu mwaka 1967 wakati nilipojiunga na TANU Youth League. Nimepata fursa ya kuwa kiongozi ndani ya Chama hiki. Lakini kuanzia kesho mimi si mwanachama wa CCM tena. Natoa...
9 years ago
Mzalendo Zanzibar14 Oct
TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM
Juma Mwapachu Ndugu zangu, Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha […]
The post TAMKO RASMI LA BALOZI JUMA V. MWAPACHU. NAJIVUA UANACHAMA WA CCM appeared first on Mzalendo.net.
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-rcdz9LioWeE/VQaBnHnQzRI/AAAAAAAHKpg/09yGkNBiBhk/s72-c/unnamedmm.jpg)
Balozi Juma Mwapachu awa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi Airtel Tanzania
![](http://3.bp.blogspot.com/-rcdz9LioWeE/VQaBnHnQzRI/AAAAAAAHKpg/09yGkNBiBhk/s1600/unnamedmm.jpg)
Balozi Mwapachu ni Katibu Mkuu aliyepita wa Jumuiya ya Afrika Mashariki, nafasi aliyoishika kati ya Aprili 2006 na Aprili 2011. Kabla ya uteuzi huu, Mwapachu alikuwa Balozi Mwakilishi Ufaransa na UNESCO.
Mwapachu ni mhitimu wa shahada ya...
9 years ago
Vijimambo22 Aug
ALICHOANDIKA JUMA MWAPACHU KWENYE UKURASA WAKE WA FACEBOOK MARA TU SUMAYE ALIPOTANGAZA KUHAMIA UKAWA
![](http://www.thecitizen.co.tz/image/view/-/1844006/highRes/508026/-/maxw/600/-/11rp2sr/-/Thinking+Differently+-+Juma+Mwapachu.jpg)
I believe earnestly that Tanzania is on a certain and definitive pathway towards a turning and tipping point in its history. It is a momentous stage where a new visionary leadership steps in and a fundamental re-definition of our country's goals and values is undertaken and executed. For all that can be said and even celebrated by global peer institutions such as the IMF and the World Bank about our country's ostensibly significant GDP economic performances in these past few...
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-wfDmAgx8hhI/VIR_lqW6N6I/AAAAAAAG1vs/7r5pNJDuDX4/s72-c/unnamed%2B(86).jpg)
Dkt Shein aongoza maziko ya Muasisi wa CCM Marehemu Mzee Juma Ameir Juma
![](http://4.bp.blogspot.com/-wfDmAgx8hhI/VIR_lqW6N6I/AAAAAAAG1vs/7r5pNJDuDX4/s1600/unnamed%2B(86).jpg)
![](http://1.bp.blogspot.com/-uDs6St6Bt4I/VIR_k41oobI/AAAAAAAG1vk/DC6dPZnDRKg/s1600/unnamed%2B(87).jpg)
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mwapachu.jpg)
MWAPACHU AJIVUA UANACHAMA CCM
9 years ago
Mtanzania16 Oct
Mwapachu arudisha kadi ya CCM, Tanu
NA CHRISTINA GAULUHANGA, DAR ES SALAAM
ALIYEWAHI kuwa Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC), Balozi Juma Mwapachu, amerejesha rasmi kadi za Chama cha Tanu na Chama Cha Mapinduzi (CCM).
Kadi hizo alizirudisha katika ofisi za chama hicho zilizopo eneo la Mikocheni A jijini Dar es Salaam jana na kuzikabidhi kwa Katibu wa Siasa na Uenezi wa CCM Kata ya Mikocheni, Sudi Odemba.
Mwapachu ambaye ni kada mkongwe wa chama hicho, alisema kadi ya Tanu yenye namba 819820 aliipata Aprili 6,...
9 years ago
IPPmedia14 Oct
CCM strategist Mwapachu also throws in the towel.
Voice of America
IPPmedia
One of the ruling CCM's key strategists, Juma Volter Mwapachu yesterday announced to quit the party, joining other high-profile CCM members who have deserted the 54-year-old party. Mwapachu, who is former Secretary General of the East African ...
Lowassa pledges to step up JKT recruitmentDaily News | The National Newspaper (press release) (blog)
In Tanzania, No Shortage of Surprises as Poll NearsVoice of America
Why...