Wasomi wataka CCM ijihoji Kingunge kujivua uanachama
Siku moja baada ya mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru kutangaza kujivua uanachama, wasomi waliohojiwa na gazeti hili wamepokea uamuzi huo kwa hisia tofauti, baadhi wakisema CCM imepoteza mtu muhimu na inatakiwa itafakari upya mwenendo wake.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
9 years ago
Vijimambo14 Oct
BALOZI JUMA MWAPACHU KUJIVUA RASMI UANACHAMA CCM KESHO
![](https://pbs.twimg.com/profile_images/486463319893499904/q7fom1nR.jpeg)
Kesho ni siku muhimu katika kalenda ya Taifa letu. Tunamkumbuka marehemu Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere aliyetutoka miaka 16 iliyopita. Nadhani ni siku mwafaka kwangu kufanya maamuzi magumu katika maisha yangu ambayo yanahusu uanasiasa wangu. Mimi ni mwanachama wa CCM tangu mwaka 1967 wakati nilipojiunga na TANU Youth League. Nimepata fursa ya kuwa kiongozi ndani ya Chama hiki. Lakini kuanzia kesho mimi si mwanachama wa CCM tena. Natoa...
10 years ago
MichuziMbunge wa Mpanda Mjini, Said Arfi ametangaza kujivua uanachama wa CHADEMA
akizungumza na waandishi wa habari.
Picha ya maktaba.Akizungumza mjini Mpanda katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika Uwanja wa Shule ya Msingi Kashaulili, jana Mhe Saidi Arfi aliwaeleza wananchi wa Mpanda kuwa uanachama wake ndani ya CHADEMA utakoma mara tu baada ya kuvunjwa Bunge Julai 9.Pia, alitumia mkutano huu kuwaaga wananchi wa jimbo hilo akisema hatagombea tena nafasi hiyo aliyoitumikia kwa miaka kumi. Mhe. Arfi alifafanua kuwa hayuko tayari...
11 years ago
Mwananchi06 Jan
Wasomi wataka rasimu iendelee kujadiliwa
10 years ago
Habarileo14 Dec
Wasomi waiponda PAC, wataka Tume huru
WAKATI Ikulu ikitoa taarifa na kusema kuwa Rais Jakaya Kikwete atafanya maamuzi juu ya sakata la akaunti ya Escrow kuhusu maazimio ya Bunge, Jumuiya ya Wanazuoni wameibuka na kuponda maazimio ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).
11 years ago
Mwananchi08 Aug
Wasomi wataka wanasiasa waondolewe Bunge la Katiba
10 years ago
Mwananchi01 Dec
Wasomi, wanaharakati walipongeza Bunge, wataka hatua zaidi kisheria
9 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/10/mwapachu.jpg)
MWAPACHU AJIVUA UANACHAMA CCM
9 years ago
Mwananchi11 Dec
Madiwani wazembe CCM kusimamishwa uanachama
9 years ago
Mwananchi13 Oct
Balozi Juma Mwapachu ajitoa uanachama CCM