Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Wasomi waiponda PAC, wataka Tume huru

WAKATI Ikulu ikitoa taarifa na kusema kuwa Rais Jakaya Kikwete atafanya maamuzi juu ya sakata la akaunti ya Escrow kuhusu maazimio ya Bunge, Jumuiya ya Wanazuoni wameibuka na kuponda maazimio ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Tanzania Daima

Wanazuoni wataka tume huru uchaguzi

WASOMI kutoka vyuo vikuu nchini, wamesema wanataka  mfumo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), uwe huru. Rai hiyo waliitoa jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kongamano la ushiriki...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wasomi: Miaka 52 ya uhuru taifa haliko huru

WASOMI wamesema kuwa pamoja na kuadhimisha miaka 52 ya uhuru bado taifa halionyeshi kuwa huru. Wamesema ingawa kuna uhuru wa bendera, lakini ni lazima kuhakikisha kuwa watu wanakuwa huru kiakili,...

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi wataka rasimu iendelee kujadiliwa

>Baadhi ya wasomi wameshauri kuwepo na uwanja mpana wa kuijadili Rasimu ya Pili ya Katiba iliyotolewa hivi karibuni.

 

11 years ago

Mwananchi

Wasomi wataka wanasiasa waondolewe Bunge la Katiba

>Wasomi na wataalamu mbalimbali wameshauri kuangaliwa upya kwa Sheria ya Mabadiliko ya Katiba ili kuwabana wajumbe wanaotumia vikao vya Bunge Maalumu kujijenga kisiasa kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu 2015, badala ya masilahi ya wananchi.

 

9 years ago

Mwananchi

Wasomi wataka CCM ijihoji Kingunge kujivua uanachama

Siku moja baada ya mwanasiasa mkongwe na kada wa CCM, Kingunge Ngombale-Mwiru kutangaza kujivua uanachama, wasomi waliohojiwa na gazeti hili wamepokea uamuzi huo kwa hisia tofauti, baadhi wakisema CCM imepoteza mtu muhimu na inatakiwa itafakari upya mwenendo wake.

 

10 years ago

Habarileo

Walemavu wataka chombo huru

Mwenyekiti wa SHIVYAWATA, Amon MpanjuWATU wenye ulemavu nchini wamepongeza juhudi za Serikali katika utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa wa Haki Watu wenye ulemavu wa mwaka 2009, na kutaka changamoto zilizobaki ziundiwe chombo huru chenye mamlaka kuratibu masuala ya watu hao.

 

10 years ago

Mwananchi

Wasomi, wanaharakati walipongeza Bunge, wataka hatua zaidi kisheria

Wasomi mbalimbali nchini wamelipongeza Bunge kwa kufanya uamuzi kwa maridhiano na kutoa mapendekezo manane kwa Serikali ili ichukue hatua dhidi ya wote waliohusika katika wizi wa fedha kwenye Akaunti ya Tegeta Escrow.

 

10 years ago

Vijimambo

WATAKA WESTERN SAHARA IWE HURU KUJIAMULIA HATIMA YAKE

Balozi Ramadhan Mwinyi, Naibu Muwakilishi wa Kudumu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, akichangia majadiliano ya jumla kuhusu agenda ya umalizaji wa ukoloni katika makoloni 17 yanayotambuliwa rasmi na Umoja wa Mataifa likiwamo la Western Sahara koloni pekee katika Bara la Afrika. Akizungumza kwa niaba ya Tanzania Balozi Mwinyi pamoja na mambo mengine alirejea wito Uliotolewa na Mhe. Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakati alipolihutubia Baraza Kuu la Umoja...

 

10 years ago

Michuzi

WATAKA WESTERN SAHARA IWE HURU KUJIAMULIA HATIMA YAKE

 Na Mwandishi Maalum, New York Umoja wa Mataifa unaitambua Western Sahara kuwa ni Koloni ambalo linapashwa kuondokana na minyororo ya ukoloni , liwe huru na lijiamulie mambo yake yenyewe kama taifa huru. Hata hivyo tangu mwaka 1963 Western Sahara ilipotambuliwa kuwa koloni, pamoja na michakato mbalimbali inayosimamiwa na Umoja wa Mataifa, Umoja wa Afrika na wadau wengine wengi, bado safari ya koloni hilo pekee Barani Afrika ya kuikata minyororo ya ukoloni inazidi kuwa ...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani