Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Walemavu wataka chombo huru

Mwenyekiti wa SHIVYAWATA, Amon MpanjuWATU wenye ulemavu nchini wamepongeza juhudi za Serikali katika utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa wa Haki Watu wenye ulemavu wa mwaka 2009, na kutaka changamoto zilizobaki ziundiwe chombo huru chenye mamlaka kuratibu masuala ya watu hao.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

Wataka chombo maalumu kufumua mfumo dume

CHOMBO maalumu ni njia pekee ya kutatua kero za wanawake ambao kwa muda mrefu wamekandamizwa na mfumo dume hivyo kuwa nyuma kiuchumi na kiuongozi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

MWALIMU LYIMO: Tunahitaji chombo huru cha kusimamia elimu

WAKATI akisoma hotuba ya bajeti ya makadirio ya mapato na matumizi kwa mwaka wa fedha 2014-2015 bungeni mjini Dodoma hivi karibuni; Waziri Kivuli Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walemavu wataka asilimia 30 ya wabunge

WATU wenye ulemavu jijini Mwanza, wamependekeza katiba mpya ijayo iamuru rais wa nchi asiteue wabunge watano kutoka kundi hilo maalumu, badala yake idadi hiyo ipatikane kwa asilimia 30 kati ya...

 

11 years ago

Tanzania Daima

Walemavu wataka elimu ya katiba

UMOJA wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (Uwawada), umesema baada ya Bunge Maalumu kupitisha Katiba iliyopendekezwa, kilichobaki sasa ni wananchi kupewa elimu ya kutosha ili wafanye uamuzi sahihi. Akizungumza na...

 

10 years ago

GPL

BASI LA WANAFUNZI WALEMAVU SINZA LAACHIWA HURU

Basi hilo likiwa maeneo ya shule. Watoto walemavu…

 

10 years ago

Habarileo

Wataka liwepo jimbo la uchaguzi la walemavu

WATU wenye ulemavu wameomba kuwa na jimbo lao la uchaguzi katika chaguzi zijazo ili kuwa na nafasi nzuri ya uwakilishi katika vyombo vya kutoa maamuzi yaani Bunge na Baraza la Wawakilishi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Wanazuoni wataka tume huru uchaguzi

WASOMI kutoka vyuo vikuu nchini, wamesema wanataka  mfumo wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), uwe huru. Rai hiyo waliitoa jijini Dar es Salaam jana, wakati wa kongamano la ushiriki...

 

10 years ago

GPL

WALEMAVU WATAKA HAKI YA KUSHIRIKI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU

Katibu Mtendaji wa Iclusive Development Promoters& Consultants (IDPC) Kaganzi Rutachwamagyo (kulia) mwenyekiti SHIVYAWATA, Amoni Mpanju na  Mwenyekiti umoja wa watu wenye ulemavu, Zanzibar Ali Makame. Mtoa mada kaganzi akichokoza mada.…

 

10 years ago

Habarileo

Wasomi waiponda PAC, wataka Tume huru

WAKATI Ikulu ikitoa taarifa na kusema kuwa Rais Jakaya Kikwete atafanya maamuzi juu ya sakata la akaunti ya Escrow kuhusu maazimio ya Bunge, Jumuiya ya Wanazuoni wameibuka na kuponda maazimio ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC).

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani