Walemavu wataka elimu ya katiba
UMOJA wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (Uwawada), umesema baada ya Bunge Maalumu kupitisha Katiba iliyopendekezwa, kilichobaki sasa ni wananchi kupewa elimu ya kutosha ili wafanye uamuzi sahihi. Akizungumza na...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
Habarileo28 Mar
Walemavu wataka chombo huru
WATU wenye ulemavu nchini wamepongeza juhudi za Serikali katika utekelezaji wa Mkataba wa Kimataifa wa Haki Watu wenye ulemavu wa mwaka 2009, na kutaka changamoto zilizobaki ziundiwe chombo huru chenye mamlaka kuratibu masuala ya watu hao.
11 years ago
Tanzania Daima19 Feb
Walemavu wataka asilimia 30 ya wabunge
WATU wenye ulemavu jijini Mwanza, wamependekeza katiba mpya ijayo iamuru rais wa nchi asiteue wabunge watano kutoka kundi hilo maalumu, badala yake idadi hiyo ipatikane kwa asilimia 30 kati ya...
9 years ago
Habarileo29 Aug
Wataka liwepo jimbo la uchaguzi la walemavu
WATU wenye ulemavu wameomba kuwa na jimbo lao la uchaguzi katika chaguzi zijazo ili kuwa na nafasi nzuri ya uwakilishi katika vyombo vya kutoa maamuzi yaani Bunge na Baraza la Wawakilishi.
10 years ago
GPLWALEMAVU WATAKA HAKI YA KUSHIRIKI KURA YA MAONI NA UCHAGUZI MKUU
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s72-c/PIX-13.jpg)
Mwenyekiti wa Bunge Maalum la Katiba, Mhe. Samuel Sitta awaahidi walemavu kutendewa haki katika Katiba Mpya
![](http://4.bp.blogspot.com/-8gAV_3giTKg/VARzsekqJOI/AAAAAAAGZ50/t7y5tmJraW8/s1600/PIX-13.jpg)
Mhe. Sitta ameyasema hayo leo Septemba Mosi, 2014 katika mkutano wake na baadhi ya viongozi wa Shirikisho la Vyama vya Watu wenye Ulemavu Tanzania (SHIVYAWATA) ambalo lilikuja katika Bunge Maalum kwa lengo la kuwasilisha hoja zenye msisitizo kuhusu haki za watu wenye ulemavu katika mchakato Katiba Mpya.
Mhe. Sitta amesema kuwa kazi...
9 years ago
StarTV12 Nov
Serikali yajipanga kuwapa elimu walemavu wasioona
Serikali imepanga kuwapa elimu walemavu wasioona nchini ili waweze kuendesha maisha yao kwa kumiliki miradi na kuondokana na dhana ya ombaomba.
Katika kuwapatia elimu hiyo Serikali imeandaa kongamano la kuwaelimisha mipango yake kuhusu umuhimu wao na namna inavyowajali.
Watu wasioona wamekuwa wakikabiliwa na changamoto mbalimbali katika maisha yao ikiwemo ugumu wa maisha lakini sasa matumaini makubwa yapo mbele yao mara baada ya serikali kupanga kuwapa elimu ili kupata ujuzi wa kumiliki...
11 years ago
Mwananchi06 Jul
Wadau wataka mfumo wa elimu uboreshwe
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Morogoro wataka elimu matumizi ya vyandarua
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imetakiwa kutoa elimu ya matumizi ya vyandarua kwa wananchi vijijini ili kuyakabili magonjwa yatokanayo na mbu ikiwemo malaria. Hayo yalisemwa na mwenyekiti wa...
11 years ago
Mwananchi20 May
Wabunge wataka JK aunde tume ya elimu