Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Morogoro wataka elimu matumizi ya vyandarua

WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imetakiwa kutoa elimu ya matumizi ya vyandarua kwa wananchi vijijini ili kuyakabili magonjwa yatokanayo na mbu ikiwemo malaria. Hayo yalisemwa na mwenyekiti wa...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Michuzi

MECK SADICK :VYANDARUA VITUMIKE KWA MATUMIZI YALIYOKUSUDIWA SIO KUFUGIA KUKU

Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
SERIKALI  imeitaka jamii kutumia vyandarua  kwa malengo yaliyokusudiwa na sio vyandarua hivyo vitumike kwa ajili ya kufugia Kuku au kuvulia Samaki.



Hayo yamesemwa leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick wakati wa maadhimisho ya siku ya Malaria Duniani ambayo hufanyika Aprili 25 kila mwaka.



Sadick amesema wafadhili mbalimbali wamekuwa wakiweka nguvu katika kupambana na Malaria hivyo ni wajibu...

 

11 years ago

Mwananchi

Wananchi wataka mapato, matumizi

Mkutano wa mwaka wa Kijiji cha Chalikani, Kata ya Maweni, Halmashauri ya Jiji la Tanga umevunjika baada ya wananchi kutaka kwanza kusomewa taarifa ya mapato na matumizi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Wafugaji wataka matumizi bora ya ardhi

ASILIMIA 75 ya watanzania ni wafugaji hivyo serikali imeombwa kuharakisha mpango wa upimaji matumizi bora ya ardhi ili kuepuka migogoro ya wakulima na wafugaji inayorudisha nyuma juhudi za maendeleo. Rai...

 

10 years ago

Habarileo

Morogoro wataka kunufaika na tafiti za IHI

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk Rajab Rutengwe.MKOA wa Morogoro umesema upo tayari kuangalia namna ya kushirikiana na Taasisi ya Afya Ifakara (IHI) katika utafiti wao wa udhibiti wa malaria, kifua kikuu pamoja na virusi wa Ukimwi na Ukimwi (HIV).

 

10 years ago

Michuzi

BASATA, TCRA WATAKA MATUMIZI SAHIHI YA MITANDAO YA KIJAMII KWA WASANII

Na Mwandishi Wetu
Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) na mamlaka ya mawasiliano nchini (TCRA) mapema wiki hii wamelaani matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii miongoni mwa wasanii wakati wa programu ya Jukwaa la Sanaa iliyofanyika makao makuu ya Baraza hilo yaliyoko Ilala Sharif Shamba jijini Dar es Salaam.
Akiongea wakati akiwasilisha mada iliyohusu ‘Matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii kwa wasanii’, Meneja mawasiliano wa TCRA Innocent Mungy alisema kuwa wasanii ni kioo cha jamii hivyo kwa...

 

9 years ago

MillardAyo

Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao…

Wakenya wameanza mwaka wa 2016 kwa kuomba Watanzania waondolewe kwenye mtandaoa wa Instagram, mtandao maarufu wa kijamii! Watumiaji wa mtandao huo kutoka Kenya, wanadai Watanzania wamethibitisha kuwa hawawezi kutumia mtandao huo vizuri kutokana na lugha nzito inayotumiwa na Watanzania pamoja na tabia ya baadhi ya Watanzania kupost  videos za utupu kwenye mtandao huo. Wakenya wengi […]

The post Wakenya wataka Watanzania kufungiwa matumizi ya Instagram!! Na hizi ndio sababu zao… appeared first...

 

10 years ago

Tanzania Daima

Walemavu wataka elimu ya katiba

UMOJA wa Wafanyabiashara Walemavu Dar es Salaam (Uwawada), umesema baada ya Bunge Maalumu kupitisha Katiba iliyopendekezwa, kilichobaki sasa ni wananchi kupewa elimu ya kutosha ili wafanye uamuzi sahihi. Akizungumza na...

 

11 years ago

Mwananchi

Wadau wataka mfumo wa elimu uboreshwe

Wadau wa elimu wamependekeza mfumo wa elimu nchi uboreshwe ili uendane na matakwa ya jamii.

 

11 years ago

Mwananchi

Wabunge wataka JK aunde tume ya elimu

>Baadhi ya wabunge jana walichachamaa wakisema elimu nchini ipo mahututi na kumtaka Rais Jakaya Kikwete kuunda tume ya kudumu ya elimu itakayochunguza mfumo wa elimu nchini.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani