MECK SADICK :VYANDARUA VITUMIKE KWA MATUMIZI YALIYOKUSUDIWA SIO KUFUGIA KUKU
![](http://2.bp.blogspot.com/-v_GeVy13tGw/VTui1IksweI/AAAAAAAHTNo/LUJSg1tVW_o/s72-c/1.jpg)
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
SERIKALI imeitaka jamii kutumia vyandarua kwa malengo yaliyokusudiwa na sio vyandarua hivyo vitumike kwa ajili ya kufugia Kuku au kuvulia Samaki.
Hayo yamesemwa leo katika viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Said Meck Sadick wakati wa maadhimisho ya siku ya Malaria Duniani ambayo hufanyika Aprili 25 kila mwaka.
Sadick amesema wafadhili mbalimbali wamekuwa wakiweka nguvu katika kupambana na Malaria hivyo ni wajibu...
Michuzi
Habari Zinazoendana
9 years ago
GPL11 Nov
9 years ago
Michuzi![](http://img.youtube.com/vi/pnygTpkW66w/default.jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-t8qHi__IUTc/VZf7YYzZmnI/AAAAAAAHm34/wwc2YfvC6CQ/s72-c/4.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH. SAID MECK SADICK ASHIRIKI KAMPENI YA MEDIA CAR WASH FOR CANCER LEADERS CLUB LEO
![](http://3.bp.blogspot.com/-t8qHi__IUTc/VZf7YYzZmnI/AAAAAAAHm34/wwc2YfvC6CQ/s640/4.jpg)
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Said Meck Sadick akizindua kampeni ya kuosha Magari katika viwanja vya Leaders Club kwa ajili ya kuchangia Fedha kwa waandishi wa Habari ambao wanamatatizo ya Kiafya ikiwemo Saratani ( MEDIA CAR WASH FOR CANCER).
![](http://1.bp.blogspot.com/-Na2aQTai9J8/VZfsA9XpRbI/AAAAAAAC8QU/_oOa9fahogQ/s640/1.jpg)
10 years ago
VijimamboMKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH. MECK SADICK AONGOZA ZOEZI LA KUOSHA MAGARI LA MEDIA CAR WASH FOR CANCER LEADERS CLUB LEO
10 years ago
GPL![](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/07/9.jpg)
MKUU WA MKOA WA DAR ES SALAAM MH. MECK SADICK AONGOZA ZOEZI LA KUOSHA MAGARI LA MEDIA CAR WASH FOR CANCER, LEADERS CLUB LEO
Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Meck Sadick akizindua zoezi la kuosha magari katika viwanja vya Leaders Club, Dar kwa ajili ya kuchangia fedha kwa waandishi wa habari ambao wanamatatizo ya kiafya ikiwemo saratani.  Mkuu wa Wilaya ya Kinomdoni, Paul Makonda akimkaribisha Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam kuongea na waandishi wa habari pamoja na wadau.  Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mh. Meck Sadick akiongea… ...
10 years ago
GPL08 May
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Morogoro wataka elimu matumizi ya vyandarua
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imetakiwa kutoa elimu ya matumizi ya vyandarua kwa wananchi vijijini ili kuyakabili magonjwa yatokanayo na mbu ikiwemo malaria. Hayo yalisemwa na mwenyekiti wa...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-8QN796L_tWk/VCGIY6bjB5I/AAAAAAADFNM/ZdaSI45RX1c/s72-c/PIX%2B1.png)
KUTUMIA MITANDAO YA KIJAMII SI DHAMBI, TUITUMIE VIZURI KWA MALENGO YALIYOKUSUDIWA.
![](http://3.bp.blogspot.com/-8QN796L_tWk/VCGIY6bjB5I/AAAAAAADFNM/ZdaSI45RX1c/s1600/PIX%2B1.png)
Na Benedict Liwenga, Maelezo-DSM. 23/09/2014. Mitandao ya kijamii ni mizuri katika kuhabarisha umma endapo inatumiwa kulingana na madhumuni iliyotengenezwa, kwani ina nguvu ya kusambaza habari kwa haraka na kwa wakati hapa duniani. Pamoja na umuhimu nwa mitandao hii ya kijamii, kuna baadhi ya watu ambao wao hujiona kuwa wameendelea katika ulimwengu wa kisayansi na teknolojia kiasi cha kuanza...
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-TslQhVTUIaw/VDafNfPpDmI/AAAAAAAGo1o/hEpKKFSEh0s/s72-c/unnamed.jpg)
Vodacom yaadhimisha wiki ya huduma kwa wateja kwa kufadhili mradi wa ufugaji kuku
"Mhisani anayekusaidia kujijengea uwezo wa kujitegemea ni muhimu sana kuliko Yule anayekupatia msaada kila siku bila kukujengea uwezo wa kusimama mwenyewe na kujitegemea”anasema Bw.Omar Abdul Kyaruzi Katibu wa kituo cha kulelea watoto yatima cha Mwandaliwa kilichopo eneo la Boko wilayani Kinondoni mkoani Dar es Salaam kutokana na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania kusaidia kituo hicho kujenga banda la kisasa kwa ajili ya kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku.
Mbali na kufadhili...
Mbali na kufadhili...
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania