Wafugaji wataka matumizi bora ya ardhi
ASILIMIA 75 ya watanzania ni wafugaji hivyo serikali imeombwa kuharakisha mpango wa upimaji matumizi bora ya ardhi ili kuepuka migogoro ya wakulima na wafugaji inayorudisha nyuma juhudi za maendeleo. Rai...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
5 years ago
CCM Blog
MAENEO YANAYOZUNGUKA VITUO VYA TRENI YA MWENDOKASI KUWEKEWA MPANGO WA MATUMIZI BORA YA ARDHI


10 years ago
Michuzi
WAZIRI LUKUVI AHIMIZA MPANGO SHIRIKISHI KUENDELEZA ARDHI KATA YA MAKONGO KWA MATUMIZI BORA NA ENDELEVU.


11 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

10 years ago
Michuzi
Makalla wataka wanasheria na watalaam wa ardhi kutoka wizara ya ardhi kufika haraka Mvomero
Makalla akiyasema hayo wakati wa Mkutano wake na wananchi hao leo kwenye kijiji cha Mkindo Bungoma ndani ya Jimbo hilo la Mvomero.

10 years ago
Dewji Blog18 Feb
Ujumbe wizara ya ardhi wafurahia utendaji wa Nchi ya Singapore namna ya utawala bora katika ardhi
Ujumbe wa Waziri wa Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi umemaliza ziara yake nchini Singapore huku ukiwa umejifunza mambo muhimu ikiwemo kuwepo utawala wa sheria katika usimamizi wa ardhi, kutokuwepo rushwa, nidhamu na uaminifu mkubwa wa watumishi wa umma, jamii inayopenda kujitegemea na usalama wa hali ya juu. Yafuatayo ni matukio ya ziara hiyo kwenye Mamlaka ya Uendelezaji wa Mji wa Singapore(URA) kama yalivyoratibiwa na Muungano Saguya.
Ujumbe wa NHC...
10 years ago
StarTV17 Sep
Wafugaji wataka suluhisho la kudumu
Baada ya kusitishwa kwa oparesheni ya kuondoa mifugo katika maeneo ya hifadhi ya mapori ya Burigi, Kimisi na Biharamulo mkoani Kagera, jamii ya wafugaji imeiomba Serikali kuendelea kusitisha zoezi hilo hadi pale ufumbuzi wa matumizi ya ardhi katika maeneo hayo utakapopatikana.
Wafugaji katika maeneo hayo wameomba pia Serikali kuwagawia sehemu ya ardhi katika mapori hayo ambayo wao walianza kuyatumia kabla ya kupewa hadhi ya kuwa hifadhi za Taifa mnamo mwaka 2003.
Baada ya ng’ombe zaidi ya...
11 years ago
Habarileo04 Feb
Wafugaji Longido wampa Balozi ardhi ya bure
JAMII ya wafugaji wa kijiji cha Lesingeita, Mundarara wilayani Longido Mkoa wa Arusha, imekubali kutoa bure ardhi yao ya malisho kwa Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Batilda Burian ijengwe shule ya kimataifa iwezeshe watoto wao kupata elimu ya uhakika.
11 years ago
Mwananchi14 Jan
Wananchi wataka mapato, matumizi
11 years ago
Tanzania Daima09 Apr
Morogoro wataka elimu matumizi ya vyandarua
WIZARA ya Afya na Ustawi wa Jamii imetakiwa kutoa elimu ya matumizi ya vyandarua kwa wananchi vijijini ili kuyakabili magonjwa yatokanayo na mbu ikiwemo malaria. Hayo yalisemwa na mwenyekiti wa...