Wafugaji wataka suluhisho la kudumu
Baada ya kusitishwa kwa oparesheni ya kuondoa mifugo katika maeneo ya hifadhi ya mapori ya Burigi, Kimisi na Biharamulo mkoani Kagera, jamii ya wafugaji imeiomba Serikali kuendelea kusitisha zoezi hilo hadi pale ufumbuzi wa matumizi ya ardhi katika maeneo hayo utakapopatikana.
Wafugaji katika maeneo hayo wameomba pia Serikali kuwagawia sehemu ya ardhi katika mapori hayo ambayo wao walianza kuyatumia kabla ya kupewa hadhi ya kuwa hifadhi za Taifa mnamo mwaka 2003.
Baada ya ng’ombe zaidi ya...
StarTV
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi06 May
Mgomo huu utafutiwe suluhisho la kudumu
11 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Wafugaji wataka matumizi bora ya ardhi
ASILIMIA 75 ya watanzania ni wafugaji hivyo serikali imeombwa kuharakisha mpango wa upimaji matumizi bora ya ardhi ili kuepuka migogoro ya wakulima na wafugaji inayorudisha nyuma juhudi za maendeleo. Rai...
11 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

11 years ago
Habarileo27 Mar
CCM: Ridhiwani suluhisho Chalinze
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani, Mwishee Mlau amesema mwenye uwezo wa kutatua changamoto zilizopo katika Jimbo la Chalinze ni mgombea wa chama hicho, Ridhiwani Kikwete na sio mgombea mwingine.
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Ushivimwa suluhisho migogoro ya ardhi
MIGOGORO ya ardhi katika maeneo mengi hapa nchini yamekuwa na madhara kwa wananchi kwa kusababisha maafa. Mbali ya kusababisha maafa, migogoro hiyo imekuwa ikisababisha kudumaza maendeleo kwenye maeneo yanayokabiliwa na...
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
DART suluhisho la usafiri Dar
HIVI karibuni Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) walisaini mkataba wa kutafuta watoa huduma na Kampuni kutoka Uholanzi ya Rebel Group. Mkataba huo ni hatua...
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Ziara ya JK ni suluhisho la matatizo Mbeya?
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Jafo: Nimekuja na suluhisho la kanuni
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Seleman Jafo, ametamba kuwa amekuja na suluhisho kwa kanuni za 37 na 38 zilizoleta msuguano bungeni. Kanuni hizo ambazo ziliwekwa kiporo wakati Bunge likipitisha...
10 years ago
Habarileo20 Jun
Reli Dar, suluhisho la msongamano
WAKATI msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam ukiwa moja ya changamoto zinazozungumzwa zaidi na watangaza nia ya urais, huku wengi wakizungumzia ujenzi wa barabara za pete kuwa suluhisho, Rais Jakaya Kikwete amekuja na wazo jipya na ameanza kulifanyia kazi.