CCM: Ridhiwani suluhisho Chalinze
MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani, Mwishee Mlau amesema mwenye uwezo wa kutatua changamoto zilizopo katika Jimbo la Chalinze ni mgombea wa chama hicho, Ridhiwani Kikwete na sio mgombea mwingine.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Habarileo11 Mar
Ridhiwani athibitishwa na CCM Chalinze
KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemteua, Ridhiwani Kikwete, kuwa mgombea katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani, unaotarajiwa kufanyika Aprili 6, mwaka huu.
11 years ago
Daily News05 Mar
Ridhiwani wins CCM nomination for Chalinze polls
Daily News
Daily News
A MEMBER of the National Executive Committee of CCM (CCM-NEC) in Bagamoyo District, Mr Ridhiwani Kikwete, has won the party's nomination for the Chalinze parliamentary by-election. Ridhiwani scooped 758 votes out of 1,363 casted in the opinion ...
11 years ago
Michuzi04 Mar
NEWS ALERT: MATOKEO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA CHALINZE:,RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA
![](https://ci6.googleusercontent.com/proxy/7bXsQR_1gaLa7cRRVzAXfADetD4o2SOl9jc7ZQonhbTM8FaSWtQNSYY_YZT8qVVfEEo-Zfd1Bfan5ZzXl08AuI0VZj3CZT3zsTnQEeqD0FUl1h97z3xuHrSTQYRVyWg2OmVLsZ6KHA2CWVWP-tSSA6r8=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-frc1/t1/1962798_688078337922818_1898229911_n.jpg)
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/-BD7UFpa8hDduwraU9_uWGk4YkaHHpHgpINhFkkKhkBbKslIZadA3vpQ1p3FF4r72KTnX-ovXlkOP32knyPj0fy8GTYHbT8cwHFw7RoLhi5_Vj4-aUjSlgdBcYq8y3NMeI7-8yOgEAjnCo-vT5gNfAY=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-ash3/t1/1922466_688078064589512_148624167_n.jpg)
![](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Bu9WYA5mJwvcX19hrsenqb5DuL7pVzxMLkRFin4NbHPIFybr_XlIPWdYxAAcMHXVDo6pxPh2uxXM0MBYoUPbgskD_obGfyOh5bIRxMRsfYzFPKe_T6sLVwVz3Xxb3RWPGLUnLBsBZpGofcyUU7Prmzp-=s0-d-e1-ft#https://scontent-b-sea.xx.fbcdn.net/hphotos-prn2/t1/10003938_688090411254944_622046925_n.jpg)
11 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-X3SliI1tTo0/Ux6mOJ9LOJI/AAAAAAAFS1M/43tPVoZ_EQc/s72-c/Ready.jpg)
CCM YAMTEUA NDG. RIDHIWANI KIKWETE KUWA MGOMBEA WA UBUNGE KWENYE UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE
![](https://4.bp.blogspot.com/-SopthPE7gj0/Ux6YTsJC85I/AAAAAAAAkYk/D48yjAdviPQ/s1600/ridh.jpg)
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Kada wa CCM, Ridhiwani Kikwete kuwa mgombea wake wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mbunge wa zamani wa jimbo hilo, marehemu Said Mwanamdogo.
Taarifa iliyotolewa na Makao Makuu ya CCM kupitia Idara ya Itikadi na uenezi CCM, imesema wakati uzinduzi wa kampeni za CCM katika uchaguzi huo utafanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kampeni za zitaongozwa na Katibu wa...
11 years ago
Habarileo08 Apr
Ridhiwani ashukuru Chalinze
RIDHIWANI Kikwete, Mbunge Mteule wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani amesema kuwa yeye ni mbunge wa watu wote wa Jimbo la Chalinze.
11 years ago
Mwananchi12 Mar
Wanne kumvaa Ridhiwani Chalinze
Magazeti ya Leo
-
1
-
2
-
3
-
4
-
5
-
6
-
7
-
8
-
9
-
10