Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Ridhiwani athibitishwa na CCM Chalinze

Ridhiwani KikweteKAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), imemteua, Ridhiwani Kikwete, kuwa mgombea katika Uchaguzi Mdogo wa Jimbo la Chalinze mkoani Pwani, unaotarajiwa kufanyika Aprili 6, mwaka huu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

Habarileo

CCM: Ridhiwani suluhisho Chalinze

MWENYEKITI wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa Pwani, Mwishee Mlau amesema mwenye uwezo wa kutatua changamoto zilizopo katika Jimbo la Chalinze ni mgombea wa chama hicho, Ridhiwani Kikwete na sio mgombea mwingine.

 

11 years ago

Daily News

Ridhiwani wins CCM nomination for Chalinze polls


Daily News
Ridhiwani wins CCM nomination for Chalinze polls
Daily News
A MEMBER of the National Executive Committee of CCM (CCM-NEC) in Bagamoyo District, Mr Ridhiwani Kikwete, has won the party's nomination for the Chalinze parliamentary by-election. Ridhiwani scooped 758 votes out of 1,363 casted in the opinion ...

 

11 years ago

Michuzi

NEWS ALERT: MATOKEO KURA ZA MAONI CCM JIMBO LA CHALINZE:,RIDHIWANI KIKWETE ASHINDA

Ndugu Ridhiwani Kikwete ameshinda kwa kishindo katika kinyang'anyiro cha kuwania kuteuliwa kuwa mgombea wa ubunge jimbo la Chalinze kupitia CCM. Katika uchaguzi huo uliofanyika leo kijijini Msata.  Ridhiwani   Kikwete amepata kura kura 758 kati ya kura 1321 zilizopigwa huku mpinzani wake wa karibu mdau wa soka Shaaban Iman Madega akiwa na kura 335. Wapiga kura za maoni kumchagua mgombea wa kiti cha Ubunge cha Chalinze wakiwa tayari kupiga kura zao leo Msata, Chalinze




 

11 years ago

Michuzi

CCM YAMTEUA NDG. RIDHIWANI KIKWETE KUWA MGOMBEA WA UBUNGE KWENYE UCHAGUZI MDOGO JIMBO LA CHALINZE

DODOMA,Tanzania
Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa imemteua Kada wa CCM, Ridhiwani Kikwete kuwa mgombea wake wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kuziba nafasi iliyoachwa wazi na mbunge wa zamani wa jimbo hilo, marehemu Said Mwanamdogo.
Taarifa iliyotolewa na Makao Makuu ya CCM kupitia Idara ya Itikadi na uenezi CCM, imesema wakati uzinduzi wa kampeni za CCM katika uchaguzi huo utafanywa na Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, kampeni za zitaongozwa na Katibu wa...

 

11 years ago

Habarileo

Ridhiwani ashukuru Chalinze

Ridhiwani KikweteRIDHIWANI Kikwete, Mbunge Mteule wa Jimbo la Chalinze wilayani Bagamoyo mkoani Pwani amesema kuwa yeye ni mbunge wa watu wote wa Jimbo la Chalinze.

 

11 years ago

Mwananchi

Wanne kumvaa Ridhiwani Chalinze

Vyama vinne vimejitokeza kusimamisha wagombea wao ili wapambane na Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwan Kikwete ambaye tayari amepitishwa na chama hicho tawala kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani