Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


DART suluhisho la usafiri Dar

HIVI karibuni Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) walisaini mkataba wa kutafuta watoa huduma na Kampuni kutoka Uholanzi ya Rebel Group. Mkataba huo ni hatua...

Tanzania daima

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Habarileo

Reli Dar, suluhisho la msongamano

Treni ya TRL.WAKATI msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam ukiwa moja ya changamoto zinazozungumzwa zaidi na watangaza nia ya urais, huku wengi wakizungumzia ujenzi wa barabara za pete kuwa suluhisho, Rais Jakaya Kikwete amekuja na wazo jipya na ameanza kulifanyia kazi.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Mabasi ya DART yaanza kazi Dar

WAKALA wa Mradi wa Mabasi yaendayo haraka (DART) umesema kabla ya utekelezaji wa awamu ya kwanza ya mradi kukamilika, kutakuwa na mabasi machache yatakayoanza kutoa huduma kuanzia Kimara hadi Kivukoni....

 

9 years ago

TheCitizen

EDITORIAL :Prepare Dar commuters ahead of Dart lauch

A total of 138 special buses have already been imported, signifying that the much-awaited Dar es Salaam Rapid Transit (Dart) commuter system is about to kick off. This is welcome news as it indicates a massive reduction of transport woes Dar commuters had been facing.

 

10 years ago

Michuzi

ADHA YA USAFIRI JIJINI DAR

 Abiria katika moja ya Daladala linalofanya safari zake kati ya Mbezi - Posta wakigombea kuingia kwenye gari hilo kupitia mlango wa Dereva,baada ya Kondakta wa Basi hilo kutofungua mlango kutokana na uwingi wa abiria hao.tukio hili limetokea jioni hii katika kituo cha Daladala cha Posta Mpya,jijini Dar es Salaam. Mara Dereva akashukia mlango wa abiria na kuja kuwazuia abiria kupanda basi hilo kupitia mlango wake,hapo napo ilikuwa mbinde ile mbaya. Mara akafanikiwa kuwadhibiti na kuwataka...

 

9 years ago

Michuzi

Dk Massaburi afurahia kuanza kwa huduma ya mabasi ya DART jijini Dar es salaam

 Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, Mkuu wa Mkowa wa Dar es salaam, Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi na viongozi wa UDART wakikagua mabasi yaendayo kasi, baada ya kuzinduliwa kwa mafunzo ya madereva  Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi akifurahia kutimia kwa ndoto ya kuanza kwa mabasi yaendayo kasi, baada ya kuzinduliwa kwa mafunzo ya madereva   Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Dk Didas Masaburi...

 

9 years ago

BBCSwahili

Wakaazi wa Dar walalama kuhusu usafiri TZ

Watu wengi hutumia mabasi madogo kusafiri kutoka eneo moja hadi jingine mjini Dar Es Salaam nchini Tanzania.

 

11 years ago

Habarileo

Usafiri wa treni Dar es Salaam kuongezwa

HUDUMA ya usafiri wa treni ya abiria jijini Dar es Salaam inatarajiwa kuongezwa mwaka huu watu wengi zaidi wanufaike. Aidha mchakato wa ujenzi wa barabara za juu ya nyingine katika njia panda za Tazara na Ubungo umeshaanza.

 

10 years ago

Michuzi

usafiri wa pantoni jijini Dar es salaam leo

 Sehemu ya abiria wakisubiri kuvuka kwa pantoni kutokea Kigamboni jijini Dar es salaam. Ni dhahiri idadi ya wakaazi katika eneo hilo la Kigamboni wanaongezeka siku hadi siku na juhudi za serikali kushirikiana na mfuko wa hifadhi ya jamii wa NSSF kujenga daraja kupunguza tatizo la msongamano limekuja kwa wakati muafaka vinginevyo hali isingekuwa nzuri siku za usoni. Umati ukisubiri waliowasili kushuka kabla ya wao kuingia kwenye pantoni leo asubuhi

 

9 years ago

Mwananchi

Dar imejipangaje usafiri wa mabasi yaendayo kasi?

Serikali juzi ilizindua rasmi mafunzo maalumu ya madereva wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Kasi (BRT), ambao unatekelezwa jijini Dar es Salaam. Uzinduzi wa mafunzo hayo ni hatua ya mwisho ya kukamilika kwa awamu ya kwanza ya mradi huo wa barabara yenye urefu wa kilomita 20.9 kutoka Kimara hadi Kivukoni

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani