Ziara ya JK ni suluhisho la matatizo Mbeya?
Mkoa wa Mbeya ni mwenyeji wa maadhimisho ya miaka 37 ya kuzaliwa kwa CCM baada ya kuunganishwa kwa vyama vya TANU na ASP Februari 5, 1977.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWaziri wa Ujenzi Afanya ziara Mkoani Mbeya
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-fqn5o34Nwlc/VQLvoQchQ0I/AAAAAAAHKF4/d6IjqlA1ato/s72-c/Untitled1.png)
Mh. Binilith Mahenge aendelea na ziara yake Mkoani Mbeya
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais, Dk. Binilith Mahenge ameishauri Halmashauri ya Jiji la Mbeya kutafuta wawekezaji watakaotumia taka kama malighafi katika shughuli uzalishaji viwandani ili kukabiliana na uchafuzi wa mazingira jijini humo.
Ushauri huo aliutoa, akiwa katika ziara ya siku mbili mkoani humo wakati alipotembelea Ofisi ya Mkuu wa Wilaya ya Mbeya na kuzungumza na Idara ya Usafishaji na Mazingira jiji humo jana.
Aliongeza...
10 years ago
MichuziZIARA YA WAHARIRI KIWANDA CHA BIA TBL MBEYA
Meneja wa Kiwanda cha Bia Mbeya, Waziri Jemedari aliwaambia Wahariri...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU PINDA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIJINI MBEYA
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa na vingozi wa serikali wakati alipowasili katika soko la mwanjelwa Februari 25,2015 tayari kwa uzinduzi wa soko hilo ambalo linaloendelea kujengwa jijini Mbeya.Picha na Fadhil Atick,Globu ya Jamii.
10 years ago
Michuzi![](http://4.bp.blogspot.com/-mxs2Jv8g1xs/VLM9FPw9jZI/AAAAAAAG8zc/c9KMrD0eVSI/s72-c/unnamed%2B(1).jpg)
Ziara ya naibu waziri wa maji Amos Makalla Mbeya vijijini
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_2EyLim9O1o/VOzXaShMWwI/AAAAAAAHFts/L5kje6hJNw8/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AANZA ZIARA YA MKOA WA MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_2EyLim9O1o/VOzXaShMWwI/AAAAAAAHFts/L5kje6hJNw8/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kR_lvqiujyg/VOzXZ0OKHYI/AAAAAAAHFto/aW5N27QhjcU/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-NgTYX_b80jw/VK6S3s2eHqI/AAAAAAAAA1Q/vSwXWPSuaLQ/s72-c/Sugu7.jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Matukio mbalimbali ya ziara ya Waziri Mkuu Pinda Mbeya mjini na vijijini
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wananchi baada ya kufungua vyumba vitatu vya Maabara katika shule ya sekondari ya Songwe mkoani Mbeya Febrari 25, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasikiliza wanafunzi wa shule ya sekondari ya Iwambe wilayani Mbeya wakati alipofungua na kukagua maabara tatu za shule hiyo akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari 25, 2015. Wapili kushoto ni mkewe Tunu na Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Norman Sigalla.