WAZIRI MKUU PINDA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIJINI MBEYA
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akisalimiana na baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa na vingozi wa serikali wakati alipowasili katika soko la mwanjelwa Februari 25,2015 tayari kwa uzinduzi wa soko hilo ambalo linaloendelea kujengwa jijini Mbeya.Picha na Fadhil Atick,Globu ya Jamii.Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akisisitiza jambo wakati akiwahutubia wakazi wa mji wa Mbeya mjini mara baada ya uzinduzi wa Soko la Mwanjelwa.
Waziri Mkuu,Mh. Mizengo Pinda akipewa maelezo mafupi ya maendeleo ya...
Michuzi
Habari Zinazoendana
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA YAKE TOKYO JAPAN
11 years ago
Michuzi04 Feb
NAIBU WAZIRI WA MAJI AMOS MAKALA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIJINI DAR ES SALAAM
![IMG_0979](https://ci4.googleusercontent.com/proxy/Kg-txqcaL7yIhXOpwnN8w6JeJSh2aJUw02pUVaqqdMr6FelP8nW8WECtHlMm7I075MctPSU_E3MIYk3IkSig0DYcLEGr6dvTWjIYhiINmZXvTf5yCAUE7DPd4sc=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_0979.jpg)
![IMG_1007](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/TY_JI8zmHgj6yHPFDDztzX9X4dmXfhha4dFlcIsSdELkCf4CqCOZZdXP7v5spVecxapE5lMtDqKs0EWyqzetILyXWhYtXO7KuZIH1Mpe8l5XbCISIKgConX8x6k=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_1007.jpg)
![IMG_1011](https://ci5.googleusercontent.com/proxy/16ZeqXB5pzo1xryN7C2y2r_w4sTs5Fd60WfZid5vRu_cLBcJyDoEbLr5jaKuPecgN6JJJ4gukTsHMHaPJzUQtvHl6DvPYTL9qMYuikKPDfQjln9x36GmTOYt0XA=s0-d-e1-ft#http://www.fullshangweblog.com/wp-content/uploads/2014/02/IMG_1011.jpg)
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU AENDELEA NA ZIARA YAKE MKOA WA MBEYE,LEO YUPO WILAYANI KYELA
10 years ago
Michuzi![](http://1.bp.blogspot.com/-_2EyLim9O1o/VOzXaShMWwI/AAAAAAAHFts/L5kje6hJNw8/s72-c/unnamed%2B(16).jpg)
WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA AANZA ZIARA YA MKOA WA MBEYA
![](http://1.bp.blogspot.com/-_2EyLim9O1o/VOzXaShMWwI/AAAAAAAHFts/L5kje6hJNw8/s1600/unnamed%2B(16).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-kR_lvqiujyg/VOzXZ0OKHYI/AAAAAAAHFto/aW5N27QhjcU/s1600/unnamed%2B(17).jpg)
10 years ago
Dewji Blog26 Feb
Matukio mbalimbali ya ziara ya Waziri Mkuu Pinda Mbeya mjini na vijijini
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na wananchi baada ya kufungua vyumba vitatu vya Maabara katika shule ya sekondari ya Songwe mkoani Mbeya Febrari 25, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiwasikiliza wanafunzi wa shule ya sekondari ya Iwambe wilayani Mbeya wakati alipofungua na kukagua maabara tatu za shule hiyo akiwa katika ziara ya mkoa wa Mbeya Februari 25, 2015. Wapili kushoto ni mkewe Tunu na Kushoto ni Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Norman Sigalla.
10 years ago
Dewji Blog06 Oct
Waziri Mkuu Pinda ahitimisha ziara yake mkoani Kagera
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akitazama ngoma ya Kihaya kabla ya kuondoka kwenye uwanja wa ndege wa Bukoba Oktoba 5, 2014 ambako alikuwa mgeni rasmi kwenye sherehe za siku ya walimu duniani zilizofanyika kitaifa kwenye uwanja wa Kaitaba mjini Bukoba Oktoba 5, 2014. Wengine kutoka kushoto ni Naibu Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi na mbunge wa Peramiho, Jenista Mhagama, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa na Mbunge wa Luangwa, Kassim Majaliwa...
10 years ago
MichuziWAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AHITIMISHA ZIARA YAKE NCHINI JAPAN
10 years ago
Dewji Blog22 Feb
Matukio mbalimbali ya Waziri Mkuu Pinda katika ziara yake mkoa wa Iringa
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akisalimiana na Chief wa Wahehe , Adam Abdu Sapi Mkwawa wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa Februari 20, 2015 kuhani msiba wa baba yake Chief huyo, Marehemu Abdu Adam Sapi Mkwawa uliotokea hivi karibuni. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akishiriki katika dua mbele ya kaburi la marehemu Abdu Adam Sapi Mkwawa wakati alipokwenda nyumbani kwa Chief huyo, Kalenga Iringa kuhani Februari 20, 2015.
Waziri Mkuu,...