Jafo: Nimekuja na suluhisho la kanuni
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Seleman Jafo, ametamba kuwa amekuja na suluhisho kwa kanuni za 37 na 38 zilizoleta msuguano bungeni. Kanuni hizo ambazo ziliwekwa kiporo wakati Bunge likipitisha...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LvGoEeJludFJ1Jxq4gl-KUeEGtwULQ1jNtujCFoP5RVhFa5DOEnBx*n25*swdxpkMtctQ-2yX2xZGjk2II3VrdM/PLUIJM.jpg)
Pluijm: Tulieni, nimekuja kazini
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Dk. Slaa: Nimekuja kuwapa mbunge
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka wananchi wa Jimbo la Kalenga mkoani hapa kutambua kuwa chama hicho kipo kwa lengo la kuwatetea wananchi...
10 years ago
Bongo Movies23 Jan
Hapa na Pale: Nimekuja Kufanya Kazi Sio Kuuza Sura Wala Kujiuza!!!!-Ester
Mrembo na muigizaji wa filamu anayekuja kwa kasi, Ester Kiama amefunguka kuwa, wanaodhani ameingia kwenye fani ya uigizaji ili kutafuta wanaume wamebugi kwa kuwa yeye siyo mburula na hajui hata anaanzaanzaje kufanya hivyo.
Akizungumzia usumbufu anaoupata kutoka kwa vidume, Ester alisema wakati alipokuwa nje ya fani alikuwa hapati usumbufu lakini sasa ameamua kuonyesha kipaji chake anaonekana kama ameingia kujiuza kama wanavyofanya baadhi ya wasanii wasiojitambua.
“Mimi bwana siyo mburula,...
11 years ago
Michuzi05 Aug
11 years ago
Michuzi10 Mar
SIJAJA KUFANYA KAMPENI JIMBO LA KALENGA,NIMEKUJA KUTOA TAHADHARI TU-MAKAMU MWENYEKITI CCM, PHILIP MANGULA.
10 years ago
Habarileo20 Jun
Reli Dar, suluhisho la msongamano
WAKATI msongamano wa magari katika Jiji la Dar es Salaam ukiwa moja ya changamoto zinazozungumzwa zaidi na watangaza nia ya urais, huku wengi wakizungumzia ujenzi wa barabara za pete kuwa suluhisho, Rais Jakaya Kikwete amekuja na wazo jipya na ameanza kulifanyia kazi.
11 years ago
Tanzania Daima08 Feb
Ushivimwa suluhisho migogoro ya ardhi
MIGOGORO ya ardhi katika maeneo mengi hapa nchini yamekuwa na madhara kwa wananchi kwa kusababisha maafa. Mbali ya kusababisha maafa, migogoro hiyo imekuwa ikisababisha kudumaza maendeleo kwenye maeneo yanayokabiliwa na...
11 years ago
Mwananchi30 Jan
Ziara ya JK ni suluhisho la matatizo Mbeya?
11 years ago
Tanzania Daima28 Jan
DART suluhisho la usafiri Dar
HIVI karibuni Wakala wa Mradi wa Mabasi Yaendayo Haraka Dar es Salaam (DART) walisaini mkataba wa kutafuta watoa huduma na Kampuni kutoka Uholanzi ya Rebel Group. Mkataba huo ni hatua...