Pluijm: Tulieni, nimekuja kazini
![](http://api.ning.com:80/files/1UL3ifpm7LvGoEeJludFJ1Jxq4gl-KUeEGtwULQ1jNtujCFoP5RVhFa5DOEnBx*n25*swdxpkMtctQ-2yX2xZGjk2II3VrdM/PLUIJM.jpg)
Kocha mpya wa Yanga, Hans van der Pluijm. Na Richard Bukos KOCHA mpya wa Yanga, Hans van der Pluijm amesema yuko tayari kuanza kazi na Yanga na kuahidi, amani itarejea. Pluijm raia wa Uholanzi aliwasili nchini saa 8:30 usiku akitokea Accra, Ghana, alisema hawezi kuzungumza mengi lakini anachoamini atafanya kazi kwa juhudi kwa kuwa Tanzania kwake ni nyumbani, anaujua ushindani wake. “Bado sijakutana na uongozi wa Yanga,...
GPL
Habari Zinazoendana
9 years ago
Habarileo16 Nov
Lowassa: Wafuasi wa Ukawa tulieni
ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuungwa mkono na umoja wa vyama vingine vitatu, Edward Lowassa, amewataka wafuasi na wanachama wa vyama hivyo kuendelea kuwa watulivu baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu.
11 years ago
Tanzania Daima18 Mar
Jafo: Nimekuja na suluhisho la kanuni
MJUMBE wa Bunge Maalumu la Katiba, Seleman Jafo, ametamba kuwa amekuja na suluhisho kwa kanuni za 37 na 38 zilizoleta msuguano bungeni. Kanuni hizo ambazo ziliwekwa kiporo wakati Bunge likipitisha...
11 years ago
Tanzania Daima24 Feb
Dk. Slaa: Nimekuja kuwapa mbunge
KATIBU Mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dk. Willibrod Slaa, amewataka wananchi wa Jimbo la Kalenga mkoani hapa kutambua kuwa chama hicho kipo kwa lengo la kuwatetea wananchi...
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/rkFK1BYzsGjSh*RvIdv4*CTC7kB4bNk-oUpu-jGM22taF0uYMlaz5Mtj4Q9n9-KvzwZkBw6E*BKoEYobSZNQ9*K6Ldw2zZlz/mpeeeeeeeeee90.jpg)
OYA MASELA TULIENI…KURUKARUKA ZIACHIE POPKONI!
11 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/ETTd9*7yfBDQrqFni8Y4DgrQ*zEdZwSzdukE2Szs2vV9T1CC*FrEhBATMFbKl-LkvXfDoRrOQH0WPnms0jjGPSX2-R0saus4/BARUANZITO.jpg)
CHOKI, ASHA BARAKA, HEBU TULIENI, SOMENI HII BARUA!
10 years ago
Bongo Movies23 Jan
Hapa na Pale: Nimekuja Kufanya Kazi Sio Kuuza Sura Wala Kujiuza!!!!-Ester
Mrembo na muigizaji wa filamu anayekuja kwa kasi, Ester Kiama amefunguka kuwa, wanaodhani ameingia kwenye fani ya uigizaji ili kutafuta wanaume wamebugi kwa kuwa yeye siyo mburula na hajui hata anaanzaanzaje kufanya hivyo.
Akizungumzia usumbufu anaoupata kutoka kwa vidume, Ester alisema wakati alipokuwa nje ya fani alikuwa hapati usumbufu lakini sasa ameamua kuonyesha kipaji chake anaonekana kama ameingia kujiuza kama wanavyofanya baadhi ya wasanii wasiojitambua.
“Mimi bwana siyo mburula,...
11 years ago
Michuzi10 Mar
SIJAJA KUFANYA KAMPENI JIMBO LA KALENGA,NIMEKUJA KUTOA TAHADHARI TU-MAKAMU MWENYEKITI CCM, PHILIP MANGULA.
10 years ago
MichuziFUNDI KAZINI....
10 years ago
Michuzi13 Nov
ajali kazini
![](https://2.bp.blogspot.com/-5mQogVDG2Wc/VGSqV6WHMFI/AAAAAAAGw8Y/o4-YAyKZz9w/s640/unnamed%2B(36).jpg)