Lowassa: Wafuasi wa Ukawa tulieni
ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuungwa mkono na umoja wa vyama vingine vitatu, Edward Lowassa, amewataka wafuasi na wanachama wa vyama hivyo kuendelea kuwa watulivu baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu.
habarileo
Habari Zinazoendana
9 years ago
Dewji Blog03 Oct
LOWASSA apata mapokezi ya Kihistoria Kisiwani Pemba, wafuasi wa UKAWA wafurika kumpokea
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa akiwapungia mkono wananchi, wakati akiwa njiani kuelekea kwenye Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Tibirinzi, Kisiwani Pemba leo October 3, 2015..
![](http://4.bp.blogspot.com/-c8RDOFHt1u4/Vg_topudqOI/AAAAAAAAO8o/PjZ7H6REfV0/s640/unnamed%2B%25282%2529.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-YNRNdv1U7u0/Vg_tosQeosI/AAAAAAAAO8w/puja8iyfm1c/s640/unnamed%2B%25283%2529.jpg)
9 years ago
Raia Mwema28 Aug
Wafuasi wa Lowassa waitesa CCM
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Mkoa wa Arusha kiko njia panda kutokana na hatua ya baadhi ya wa
Paul Sarwatt
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-HV0pHIzBciQ/VkZpCM7UUFI/AAAAAAAAXF8/tVjHik9dcio/s72-c/Mangua-620x308.jpg)
Polisi na Mahakama Kilwa watesa wafuasi wa UKAWA
9 years ago
Mwananchi25 Sep
Wafuasi Ukawa wachoma nyumba ya mwenezi CCM
9 years ago
Habarileo29 Oct
Wafuasi Ukawa Temeke wadaiwa kuchoma ofisi
WATU wanaodaiwa kuwa wafuasi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamechoma moto ofisi za Ofisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Temeke Mikoroshini kwa madai kuwa ofisa huyo amemtangaza mgombea udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abel Tarimo wakati hakushinda.
10 years ago
Habarileo01 Aug
Wafuasi wa Lowassa Zanzibar wamtosa rasmi
WAJUMBE wa Halmashauri kuu ya CCM pamoja na wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar waliokuwa kambi ya mtia nia ya urais, Edward Lowassa wametangaza kutomfuata kada huyo aliyehamia Chadema na kusema kumuunga mkono mgombea urais aliyepitishwa na chama hicho, John Magufuli.
9 years ago
Mtanzania26 Aug
Masha, wafuasi wa Lowassa watupwa Segerea
NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM
SIKU moja baada ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Laurence Masha, kukamatwa na kulazwa kwenye Kituo cha Polisi Oysterbay, jijini Dar es Salaam, amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka kisha kupelekwa katika Gereza la Segerea.
Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, Masha alikamatwa juzi jioni baada ya kufika Kituo cha Polisi Osterbay, kwa lengo la kuwadhamini vijana 19 waliokuwa wamekamatwa kwa madai ya kukusanyika kinyume cha sheria.
Vijana hao...
9 years ago
Habarileo16 Sep
Lowassa ahimiza wafuasi wampigie kura
MGOMBEA wa urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia Chadema, Edward Lowassa, amesema haitoshi kwa watu kuendelea kufurika katika mikutano yake pasipo kutia nia ya kumpigia kura ili aweze kuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano.
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Polisi wawatawanya wafuasi wa Ukawa kwa risasi Vunjo