Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Lowassa: Wafuasi wa Ukawa tulieni

ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuungwa mkono na umoja wa vyama vingine vitatu, Edward Lowassa, amewataka wafuasi na wanachama wa vyama hivyo kuendelea kuwa watulivu baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu.

habarileo

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Dewji Blog

LOWASSA apata mapokezi ya Kihistoria Kisiwani Pemba, wafuasi wa UKAWA wafurika kumpokea

unnamed (1) Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa akiwapungia mkono wananchi, wakati akiwa njiani kuelekea kwenye Mkutano wa Kampeni, uliofanyika kwenye Uwanja wa Tibirinzi, Kisiwani Pemba leo October 3, 2015..

..     Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kupitia Mwamvuli wa UKAWA, Edward Lowassa akifurahi jambo na Mgombea...

 

9 years ago

Raia Mwema

Wafuasi wa Lowassa waitesa CCM

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) katika Mkoa wa Arusha kiko njia panda kutokana na hatua ya baadhi ya wa

Paul Sarwatt

 

9 years ago

CHADEMA Blog

Polisi na Mahakama Kilwa watesa wafuasi wa UKAWA

VIJANA watano wafuasi wa UKAWA wilayani Kilwa kwa wiki tatu sasa wanasota mahabusu kwa sababu ya kunyimwa dhamana kutokana na tuhuma za kufanya kosa la uporaji kwa kutumia silaha. Vijana hao ni Rifati Mnakatu (Katibu Chadema Kata ya Mitole), Ali Matumla (Mwenyekiti CDM Kata ya Mitole), Fadhili Mbopo (CDM), Chande Hemedi Nyayo (CUF) na Omari Mkonda (CUF).Wengine walioshikiliwa ni Hassani Ukurwa

 

9 years ago

Mwananchi

Wafuasi Ukawa wachoma nyumba ya mwenezi CCM

Wafuasi wa Chadema juzi walichoma moto nyumba ya Katibu Mwenezi wa CCM Wilaya ya Lindi, Khalfani Mndanje kwa kile kilichoelezwa kuwagonga na kuwajeruhi watu wanane waliokuwa wakitoka kwenye kampeni za mgombea urais wao, Edward Lowassa.

 

9 years ago

Habarileo

Wafuasi Ukawa Temeke wadaiwa kuchoma ofisi

WATU wanaodaiwa kuwa wafuasi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamechoma moto ofisi za Ofisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Temeke Mikoroshini kwa madai kuwa ofisa huyo amemtangaza mgombea udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abel Tarimo wakati hakushinda.

 

10 years ago

Habarileo

Wafuasi wa Lowassa Zanzibar wamtosa rasmi

WAJUMBE wa Halmashauri kuu ya CCM pamoja na wenyeviti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar waliokuwa kambi ya mtia nia ya urais, Edward Lowassa wametangaza kutomfuata kada huyo aliyehamia Chadema na kusema kumuunga mkono mgombea urais aliyepitishwa na chama hicho, John Magufuli.

 

9 years ago

Mtanzania

Masha, wafuasi wa Lowassa watupwa Segerea

NA WAANDISHI WETU, DAR ES SALAAM

SIKU moja baada ya aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Laurence Masha, kukamatwa na kulazwa kwenye Kituo cha Polisi Oysterbay, jijini Dar es Salaam, amefikishwa mahakamani na kusomewa mashtaka kisha kupelekwa katika Gereza la Segerea.

Kwa mujibu wa Jeshi la Polisi, Masha alikamatwa juzi jioni baada ya kufika Kituo cha Polisi Osterbay, kwa lengo la kuwadhamini vijana 19 waliokuwa wamekamatwa kwa madai ya kukusanyika kinyume cha sheria.

Vijana hao...

 

9 years ago

Habarileo

Lowassa ahimiza wafuasi wampigie kura

MGOMBEA wa urais wa Jamhuri wa Muungano wa Tanzania kupitia Chadema, Edward Lowassa, amesema haitoshi kwa watu kuendelea kufurika katika mikutano yake pasipo kutia nia ya kumpigia kura ili aweze kuwa Rais wa Serikali ya Awamu ya Tano.

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi wawatawanya wafuasi wa Ukawa kwa risasi Vunjo

Jeshi la Polisi, jana lililazimika kufyatua risasi za moto hewani ili kuwatawanya wafuasi wa Chadema na NCCR-Mageuzi waliokuwa wamekusanyika nje ya kituo cha Polisi cha Himo.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani