Wafuasi Ukawa wachoma nyumba ya mwenezi CCM
Wafuasi wa Chadema juzi walichoma moto nyumba ya Katibu Mwenezi wa CCM Wilaya ya Lindi, Khalfani Mndanje kwa kile kilichoelezwa kuwagonga na kuwajeruhi watu wanane waliokuwa wakitoka kwenye kampeni za mgombea urais wao, Edward Lowassa.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
GPL
CCM WALAANI WAFUASI WA UKAWA KUFANYA FUJO KWENYE OFISI ZAO TANGA
10 years ago
Michuzi
WAFUGAJI WAVAMIA ENEO LA MWEKEZAJI ,WACHOMA NYUMBA ,MAGARI

Mkurugenzi wa halmashauri ya wilaya ya Siha ,Rashid Kitambulilo akimuongoza mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama wakati akitembelea eneo la mwekezaji la Tanganyika Film and Safari ambako wafugaji jamii ya Masai wanadaiwa kufanya uharibifu mkubwa.



10 years ago
Vijimambo
KATIBU MWENEZI WA CCM KILIMANJARO ATANGAZA NIA YA KUGOMBEA UBUNGE







11 years ago
Michuzi22 Apr
Mwenezi wa Chadema Wilaya ya Meatu arudi CCM pamoja na viongozi wengine wa Chadema



10 years ago
Mwananchi17 Oct
CCM, Chadema wapigana, wachoma moto maduka
9 years ago
Habarileo16 Nov
Lowassa: Wafuasi wa Ukawa tulieni
ALIYEKUWA mgombea urais kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) na kuungwa mkono na umoja wa vyama vingine vitatu, Edward Lowassa, amewataka wafuasi na wanachama wa vyama hivyo kuendelea kuwa watulivu baada ya matokeo ya Uchaguzi Mkuu.
10 years ago
Vijimambo
BREAKING NEWS: MWENYEKITI WA CCM MKOA ARUSHA NA KATIBU MWENEZI WA MKOA WAJIUZULU NA KUHAMIA CHADEMA

ENDELEA KUTUFUATILIA KWA TAARIFA ZAIDI
9 years ago
CHADEMA Blog
Polisi na Mahakama Kilwa watesa wafuasi wa UKAWA
10 years ago
Habarileo29 Oct
Wafuasi Ukawa Temeke wadaiwa kuchoma ofisi
WATU wanaodaiwa kuwa wafuasi wa vyama vinavyounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) wamechoma moto ofisi za Ofisa Mtendaji wa Kata ya Sandali, Temeke Mikoroshini kwa madai kuwa ofisa huyo amemtangaza mgombea udiwani wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abel Tarimo wakati hakushinda.