Polisi wawatawanya wafuasi wa Ukawa kwa risasi Vunjo
Jeshi la Polisi, jana lililazimika kufyatua risasi za moto hewani ili kuwatawanya wafuasi wa Chadema na NCCR-Mageuzi waliokuwa wamekusanyika nje ya kituo cha Polisi cha Himo.
Mwananchi
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Nov
Polisi wawatawanya wana-CCM kwa mabomu
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Iddi%20Abdallah--Muhongo-November25-2014.jpg)
Wanachama hao waliandamana kufuatia Kamati Kuu ya CCM Wilaya ya Mvomero kukata majina ya wagombea walioshinda na kurudisha majina ya walioshindwa ili wagombee nafasi za wenyeviti wa vijiji hivyo.
Mbali ya maandamano...
9 years ago
CHADEMA Blog![](http://3.bp.blogspot.com/-HV0pHIzBciQ/VkZpCM7UUFI/AAAAAAAAXF8/tVjHik9dcio/s72-c/Mangua-620x308.jpg)
Polisi na Mahakama Kilwa watesa wafuasi wa UKAWA
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Polisi wawatawanya waandamanaji Nigeria
9 years ago
Habarileo07 Sep
Ukawa yapasuka kwa kasi Vunjo
MPASUKO ndani ya vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa, umeanza kushika kasi baada ya madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kunyimwa eneo la kukaa kwenye mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa kampeni za chama cha NCCR-Mageuzi Jimbo la Vunjo, mkoani Kilimanjaro.
10 years ago
CloudsFM31 Dec
10 years ago
Mwananchi11 Nov
Polisi yawatawanya wafuasi wa Mbowe kwa mabomu
10 years ago
StarTV28 Jan
Polisi yatawanya wafuasi wa CUF kwa mabomu.
Na Glory Matola,
Dar es Salaam.
Jeshi la Polisi limelazimika kulipua mabomu ya machozi kuwatawanya wafuasi wa Chama cha Wananchi CUF waliojiandaa kuandamana hadi Viwanja vya Zakhiem Mbagala jijini Dar es Salaam ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya kumbukumbu ya mauaji ya baadhi ya wafuasi wake huko Zanzibar.
Pamoja na mabomu hayo, Jeshi hilo pia lilimkamata Mwenyekiti wa chama hicho Profesa Ibrahimu Lipumba, baadhi ya wanachama na mwandishi wa habari wa gazeti la Jambo Leo na kupelekwa kituo...
10 years ago
Mtanzania29 Oct
Polisi Kagera wasambaratisha wafuasi wa Mdee kwa mabomu
![Halima Mdee](http://mtanzania.co.tz/wp-content/uploads/2014/10/Halima-Mdee.jpg)
Halima Mdee
Na Mwandishi Wetu, Kyerwa
JESHI la Polisi Wilaya ya Kyerwa mkoani Kagera limetumia mabomu ya machozi kutawanya wananchi waliojitokeza kumpokea Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Wanawake wa Chadema (Bawacha), Halima Mdee.
Walilazimika kutumia mabomu wakati Mdee alipokuwa anakwenda kusaini kitabu cha wageni kwenye ofisi za chama hicho.
Mbali na kutumia mabomu, jeshi hilo limezuia mikutano yote iliyokuwa ihutubiwe na Mdee jana kwa madai ya kupata taarifa za kiitelijensia kuwa...
10 years ago
CloudsFM03 Oct
WANAJESHI,POLISI WAPIGANA KWA RISASI
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na askari wa Jeshi la Polisi, wameshambuliana kwa silaha mbele ya raia na kusababisha baadhi ya maofisa waandamizi kujeruhiwa kwa risasi, baadhi yao vibaya.
Tukio hilo lilitokea juzi saa 11:00 jioni katika Kituo Kikuu cha Mabasi mjini Tarime.
Waliojeruhiwa katika tukio hilo ni askari JWTZ, Aloyce Filbert (24), aliyepigwa risasi mguuni na Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi wa Tarime/Rorya, SSP Salum, aliyejeruhiwa kichwani pamoja askari kadhaa.
...