Ukawa yapasuka kwa kasi Vunjo
MPASUKO ndani ya vyama vya upinzani vinavyounda Ukawa, umeanza kushika kasi baada ya madiwani wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kunyimwa eneo la kukaa kwenye mkutano wa hadhara wa uzinduzi wa kampeni za chama cha NCCR-Mageuzi Jimbo la Vunjo, mkoani Kilimanjaro.
habarileo
Habari Zinazoendana
11 years ago
Uhuru NewspaperUKAWA yapasuka
Wabunge CHADEMA wahudhuria bungeniHotuba ya Sitta gumzo, zaidi watarajiwaKamati zaanza kujadili Sura ya 12 ya Rasimu
NA WAANDISHI WETU, DODOMA
MPASUKO miongoni mwa wajumbe wa kundi la Umoja wa Katiba ya Wananchi (UKAWA), umezidi kushika kasi huku baadhi wakiamua kuasi na kuhudhuria vikao vya Bunge Maalumu la Katiba.
Kundi la UKAWA, ambalo limesusia kushiriki vikao vya bunge hilo, linaundwa na wajumbe kutoka vyama vya CHADEMA, NCCR-Mageuzi na CUF, ambapo jitihada za makundi mbalimbali nchini,...
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Polisi wawatawanya wafuasi wa Ukawa kwa risasi Vunjo
11 years ago
Mwananchi19 Jul
Chadema yapasuka Kigoma
9 years ago
BBCSwahili09 Nov
Ardhi yapasuka na kumeza magari 12
9 years ago
Habarileo24 Aug
Chadema Monduli yapasuka ‘vipandevipande’
UONGOZI wa Chadema wilayani Monduli umesambaratika, kufuatia hatua ya viongozi wa juu wa chama hicho kujiuzulu nyadhifa zao.
9 years ago
StarTV21 Aug
Chadema yapasuka Bunda, kisa Bulaya
Bulaya aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu (CCM), alihamia Chadema hivi karibuni na moja kwa moja kwenda kujaribu siasa za...
10 years ago
GPLKWA NINI BEI YA MAFUTA KWA WALAJI HAISHUKI KWA KASI?
9 years ago
Michuzi26 Oct
Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Mhe Maximillian Lyimo apiga kura Vunjo
![](https://ci3.googleusercontent.com/proxy/U9Phmn0SvgZRqxNMpuRV6u_G-Hg-EH6QW2YsdKBVviwZIV0vfLb0apq-l5Zb6FInX7J1gsYRPIUbx8bUcrqUtA2WwrcDY8aAKqhg9IPeifD9PTZdQiHExYCjw4aGwUPJBBwrTH6qL7Nx9Pt3qp4Bo7bDMIh_-eEW3iQx1YAIFcHkY2J2pyWiUjtJdklpovxrpo_5VmqYPz2SOhtd0ZGxp-mWCzn76kEamd5p_BeET6WOGw=s0-d-e1-ft#http://api.ning.com/files/zCV6O6VKkHwc4eD6IHgVsneag5D66z2q1uEY*0DRwt6npYpF0wk16iPLurBom2tDPmdWv4rwokreR5T5Pv3SDRmc5FDjcPzX/MaxmillianLyimotlp.jpg?width=650)
Mgombea urais kwa tiketi ya Tanzania Labour Party (TLP), Mhe. Maximillian Lyimo hatimaye amepiga kura yake katika Kituo cha Njia Panda, Jimbo la Vunjo mkoani Kilimanjaro, baada ya mambo kuwekwa sawa. Awali Mhe. Lyimo alishindwa kupiga kura baada ya kukosekana taarifa zake kituoni hapo.Mhe Lyimo aliyejiandikishia mkoani Dar es Salaam, jana alienda kufunga kampeni zake Jimbo la Vunjo na kulala huko. Asubuhi ya leo...
9 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-nmbGK0k3vhY/VdOY4lYeXUI/AAAAAAAHyCk/QGTKocHoe44/s72-c/e1.jpg)
libeneke la zawadi kwa wenye stika za EFM 93.7 laendelea kwa kasi
![](http://2.bp.blogspot.com/-nmbGK0k3vhY/VdOY4lYeXUI/AAAAAAAHyCk/QGTKocHoe44/s640/e1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-I0_BQmAUmnY/VdOY4jUklII/AAAAAAAHyCo/t_GFEblvWbE/s640/e2.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-0OCg5nDpZG8/VdOY_LaRZoI/AAAAAAAHyC0/m5rAewFbnCY/s640/e3.jpg)