Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi wawatawanya waandamanaji Nigeria

Polisi wa Nigeria wamefyatua risasi kuwatawanya waandamanaji walitaka adhabu ya kifo kwa watuhumiwa wa mapenzi ya jinsia moja

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Vijimambo

Polisi wawatawanya wana-CCM kwa mabomu

Mkuu wa Polisi Wilaya ya Mvomero,Iddi Abdallah.Jeshi la Polisi Wilaya ya Mvomero, Mkoani Morogoro, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuzuia maandamano ya wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa vijiji vya Luhindo na Sangasanga, walioandamana kupinga matokeo ya kura za maoni.

Wanachama hao waliandamana kufuatia Kamati Kuu ya CCM Wilaya ya Mvomero kukata majina ya wagombea walioshinda na kurudisha majina ya walioshindwa ili wagombee nafasi za wenyeviti wa vijiji hivyo.

Mbali ya maandamano...

 

9 years ago

Mwananchi

Polisi wawatawanya wafuasi wa Ukawa kwa risasi Vunjo

Jeshi la Polisi, jana lililazimika kufyatua risasi za moto hewani ili kuwatawanya wafuasi wa Chadema na NCCR-Mageuzi waliokuwa wamekusanyika nje ya kituo cha Polisi cha Himo.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi waliwaua waandamanaji Ukraine

Polisi wa kikosi maalum cha Ukraine wamedaiwa kuwaua waandamanaji kadhaa mjini Kiev, wakati wa vurugu nchini humo Februari mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wapambana na Polisi Mexico

Kitendawili hakijapata majibu kuhusu walipo Wanafunzi 43 waliopotea nchini Mexico

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok

Mamia ya polisi wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za serikali kwa niya ya kuwangoa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wawatimua waandamanaji Pakistan

Vikosi vya usalama katika mji mkuu wa Pakistan ,Islamabad vimewaondoa waandamanaji kutoka makao makuu ya runinga ya kitaifa PTV.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi

Polisi leo wamefyatua hewani risasi za moto katika kukabiliana na maandamano mapya ambayo yameanza maeneo kadhaa ya mji wa Bujumbura

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi Misri wakabili waandamanaji

Polisi nchini Misri wanaripotiwa kukabiliana na waandamanaji wanaounga mkono aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wapambana na waandamanaji Brazil

Kumezuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira usiku kucha katika mojawapo ya viunga vya Rio de Janeiro.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani