Polisi wawatawanya waandamanaji Nigeria
Polisi wa Nigeria wamefyatua risasi kuwatawanya waandamanaji walitaka adhabu ya kifo kwa watuhumiwa wa mapenzi ya jinsia moja
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
Vijimambo25 Nov
Polisi wawatawanya wana-CCM kwa mabomu
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Iddi%20Abdallah--Muhongo-November25-2014.jpg)
Wanachama hao waliandamana kufuatia Kamati Kuu ya CCM Wilaya ya Mvomero kukata majina ya wagombea walioshinda na kurudisha majina ya walioshindwa ili wagombee nafasi za wenyeviti wa vijiji hivyo.
Mbali ya maandamano...
9 years ago
Mwananchi06 Oct
Polisi wawatawanya wafuasi wa Ukawa kwa risasi Vunjo
Jeshi la Polisi, jana lililazimika kufyatua risasi za moto hewani ili kuwatawanya wafuasi wa Chadema na NCCR-Mageuzi waliokuwa wamekusanyika nje ya kituo cha Polisi cha Himo.
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Polisi waliwaua waandamanaji Ukraine
Polisi wa kikosi maalum cha Ukraine wamedaiwa kuwaua waandamanaji kadhaa mjini Kiev, wakati wa vurugu nchini humo Februari mwaka huu.
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Waandamanaji wapambana na Polisi Mexico
Kitendawili hakijapata majibu kuhusu walipo Wanafunzi 43 waliopotea nchini Mexico
11 years ago
BBCSwahili18 Feb
Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok
Mamia ya polisi wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za serikali kwa niya ya kuwangoa.
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Polisi wawatimua waandamanaji Pakistan
Vikosi vya usalama katika mji mkuu wa Pakistan ,Islamabad vimewaondoa waandamanaji kutoka makao makuu ya runinga ya kitaifa PTV.
10 years ago
BBCSwahili18 May
Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi
Polisi leo wamefyatua hewani risasi za moto katika kukabiliana na maandamano mapya ambayo yameanza maeneo kadhaa ya mji wa Bujumbura
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Polisi Misri wakabili waandamanaji
Polisi nchini Misri wanaripotiwa kukabiliana na waandamanaji wanaounga mkono aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Polisi wapambana na waandamanaji Brazil
Kumezuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira usiku kucha katika mojawapo ya viunga vya Rio de Janeiro.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania