Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Polisi Misri wakabili waandamanaji

Polisi nchini Misri wanaripotiwa kukabiliana na waandamanaji wanaounga mkono aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wawatawanya waandamanaji Nigeria

Polisi wa Nigeria wamefyatua risasi kuwatawanya waandamanaji walitaka adhabu ya kifo kwa watuhumiwa wa mapenzi ya jinsia moja

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi waliwaua waandamanaji Ukraine

Polisi wa kikosi maalum cha Ukraine wamedaiwa kuwaua waandamanaji kadhaa mjini Kiev, wakati wa vurugu nchini humo Februari mwaka huu.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi

Polisi leo wamefyatua hewani risasi za moto katika kukabiliana na maandamano mapya ambayo yameanza maeneo kadhaa ya mji wa Bujumbura

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wapambana na waandamanaji Brazil

Kumezuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira usiku kucha katika mojawapo ya viunga vya Rio de Janeiro.

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wawatimua waandamanaji Pakistan

Vikosi vya usalama katika mji mkuu wa Pakistan ,Islamabad vimewaondoa waandamanaji kutoka makao makuu ya runinga ya kitaifa PTV.

 

11 years ago

BBCSwahili

Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok

Mamia ya polisi wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za serikali kwa niya ya kuwangoa.

 

10 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wapambana na Polisi Mexico

Kitendawili hakijapata majibu kuhusu walipo Wanafunzi 43 waliopotea nchini Mexico

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi,waandamanaji wapambana Hong Kong

Polisi na waandamanaji wanaodai demokrasia wamepambana mjini Hong Kong katika eneo linalozunguka makao makuu ya serikali.

 

5 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wakabiliana na polisi mjini London

Polisi walishambuliwa kwa chupa wakati wa makabiliano kati yao na mamia ya waandamanaji mjini London, ambao walipuuza agizo la kutoshiriki maandamano.

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani