Waandamanaji wakabiliana na polisi mjini London
Polisi walishambuliwa kwa chupa wakati wa makabiliano kati yao na mamia ya waandamanaji mjini London, ambao walipuuza agizo la kutoshiriki maandamano.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
10 years ago
BBCSwahili18 May
Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi
Polisi leo wamefyatua hewani risasi za moto katika kukabiliana na maandamano mapya ambayo yameanza maeneo kadhaa ya mji wa Bujumbura
11 years ago
BBCSwahili13 Jul
Libya:Waasi wakabiliana mjini Tripoli
Kuna ripoti kwamba mapigano yamezuka nchini Libya karibu na uwanja wa kimataifa wa ndege katika mji mkuu wa Tripoli.
11 years ago
BBCSwahili25 Mar
Jamaa wa abiria wa MH370 wakabiliana na polisi
Familia za abiria wa ndege iliyotoweka ya Malaysia majuma mawili yaliyopita, wamekabiliana na polisi nje ya ubalozi wa Malaysia mjini Beijing.
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/UeiAtiGk5fkyvMCVFehLhjfTfc6gngQFHzxaqE007uW9xhq7q4wDQtzaI9tJv*2uTzf2Ngd*1SKLau3fvUe2IHA0-fbNjl9v/2.jpg)
WAANDAMANAJI WAZUA VURUGU MJINI MISSOURI, MAREKANI
Waandamanji wakifurahia jambo baada ya kuchoma maduka wakati wa vurugu hizo. Polisi wakiwa eneo la tukio kutuliza ghasia zilizotokana na waandamanaji.…
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Oi8IGTb-jSIK*NKsuMwT3**ER6sTuipLpg8mnVoxd9AO*9qJxbTcilbm23HUQEcIOKwqdjPeIheihTTqDRJLsrpuqNfwYsvt/12.jpg?width=650)
BASI LACHOMWA MOTO NA WAANDAMANAJI MJINI BUJUMBURA, BURUNDI
Vurugu za kuchoma moto vitu mbalimbali zikiendelea. Waandamanaji wakiendeleza maandamano mjini Bujumbura. Magurudumu yakichomwa moto, barabara ikiwa imefungwa na waandamanaji. Bujumbura,…
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Waandamanaji wapambana na Polisi Mexico
Kitendawili hakijapata majibu kuhusu walipo Wanafunzi 43 waliopotea nchini Mexico
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Polisi wawatimua waandamanaji Pakistan
Vikosi vya usalama katika mji mkuu wa Pakistan ,Islamabad vimewaondoa waandamanaji kutoka makao makuu ya runinga ya kitaifa PTV.
11 years ago
BBCSwahili28 Mar
Polisi Misri wakabili waandamanaji
Polisi nchini Misri wanaripotiwa kukabiliana na waandamanaji wanaounga mkono aliyekuwa rais wa nchi hiyo Mohammed Morsi
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Polisi waliwaua waandamanaji Ukraine
Polisi wa kikosi maalum cha Ukraine wamedaiwa kuwaua waandamanaji kadhaa mjini Kiev, wakati wa vurugu nchini humo Februari mwaka huu.
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
12-February-2025 in Tanzania