Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Jamaa wa abiria wa MH370 wakabiliana na polisi

Familia za abiria wa ndege iliyotoweka ya Malaysia majuma mawili yaliyopita, wamekabiliana na polisi nje ya ubalozi wa Malaysia mjini Beijing.

BBCSwahili

Read more


Habari Zinazoendana

11 years ago

BBCSwahili

Jamaa wa abiria wataka ukweli Malaysia

Jamaa wa abiria wa ndege ya Malaysia iliyopotea wataka wakuu wa Malaysia wajibu maswali yao

 

10 years ago

BBCSwahili

Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi

Polisi leo wamefyatua hewani risasi za moto katika kukabiliana na maandamano mapya ambayo yameanza maeneo kadhaa ya mji wa Bujumbura

 

5 years ago

BBCSwahili

Waandamanaji wakabiliana na polisi mjini London

Polisi walishambuliwa kwa chupa wakati wa makabiliano kati yao na mamia ya waandamanaji mjini London, ambao walipuuza agizo la kutoshiriki maandamano.

 

9 years ago

Habarileo

Polisi yawaangukia abiria kudhibiti ajali

POLISI mkoani Katavi kupitia kikosi cha Usalama Barabarani imezindua kampeni inayowataka abiria kushirikiana kudhibiti na kupunguza ajali za barabarani hasa kipindi cha kuelekea siku za Sikukuu za Krismasi na Mwaka Mpya.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Haki za Madereva, Abiria na Polisi Barabarani — 3

Katika mfululizo wa uhakiki huu wa kitabu cha Haki za Madereva, Abiria na Polisi Barabarani kilichotungwa na Al-Muswadiku Chamani, tumeangalia utangulizi, mazingira yanayokizunguka kitabu na muhtasari wa kitabu. Sasa endelea…...

 

11 years ago

Mwananchi

Polisi wawahakishia ulinzi madereva, abiria Nzega

Polisi mkoani, Tabora wamewahakikishia ulinzi na usalama wa kutosha madereva na abiria wote wa magari yatakayotumia Barabara Kuu ya Dar es Salaam-Mwanza kupitia Igunga na Nzega.

 

10 years ago

BBCSwahili

Wanajeshi wakabiliana na B.Haram Nigeria

Wanajeshi nchini Nigeria wamekuwa wakipigana na wanamgambo wa Boko Haramu kwenye mji ulio kaskazini mashariki

 

11 years ago

BBCSwahili

Libya:Waasi wakabiliana mjini Tripoli

Kuna ripoti kwamba mapigano yamezuka nchini Libya karibu na uwanja wa kimataifa wa ndege katika mji mkuu wa Tripoli.

 

9 years ago

Michuzi

JESHI LA POLISI LAANZA KUTOA ELIMU KWA ABIRIA NA MADEREVA ILI KUKABILIANA NA AJALI KATIKA KIPINDI CHA MWISHO WA MWAKA

Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani,Inspekta Ibrahim Omary Samwi(kushoto), na PC Elisante Bura(kulia), wakikagua moja ya magari yanayofanya safari zake mikoani, kutekeleza mkakati wa Jeshi la Polisi kupitia Kitengo cha Usalama Barabarani kudhibiti ajali kuelekea kipindi cha mwisho wa mwaka.Zoezi hili limefanyika muda mfupi kabla ya magari kuondoka katika kituo Kikuu cha mabasi Ubungo,jijini Dar es Salaam kuelekea mikoa mbalimbali ya Tanzania.Askari wa Kikosi cha Usalama...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani