Polisi wavamia Waandamanaji Bangkok
Mamia ya polisi wanakabiliana na waandamanaji ambao wamekita kambi katika afisi za serikali kwa niya ya kuwangoa.
BBCSwahili
Habari Zinazoendana
11 years ago
BBCSwahili17 Jan
Waandamanaji washambuliwa Bangkok
Watu wapatao ishirini na wanane wamejeruhiwa katika shambulio dhidi ya waandamanaji wanaoipinga serikali mjini Bangkok, Thailand.
11 years ago
BBCSwahili13 Jan
Waandamanaji wafunga barabara Bangkok
Waandamanaji nchini Thailand wameanza kufunga barabara mjini Bangkok kwa lengo la kuiong'oa serikali ya nchi hiyo.
10 years ago
BBCSwahili01 Dec
Waandamanaji wavamia ofisi wa serikali Hong Kong
Wanaharakati wanaopigania demokrasia katika eneo la Hong Kong, wamesababishwa ofisi za serikali kufuingwa asubuhi ya leo kufuatia usiku wenye ghasia kwenye mitaa.
11 years ago
BBCSwahili23 Jan
Polisi wawatawanya waandamanaji Nigeria
Polisi wa Nigeria wamefyatua risasi kuwatawanya waandamanaji walitaka adhabu ya kifo kwa watuhumiwa wa mapenzi ya jinsia moja
11 years ago
BBCSwahili23 Apr
Polisi wapambana na waandamanaji Brazil
Kumezuka mapigano kati ya jeshi la polisi na wakaazi wenye hasira usiku kucha katika mojawapo ya viunga vya Rio de Janeiro.
11 years ago
BBCSwahili03 Apr
Polisi waliwaua waandamanaji Ukraine
Polisi wa kikosi maalum cha Ukraine wamedaiwa kuwaua waandamanaji kadhaa mjini Kiev, wakati wa vurugu nchini humo Februari mwaka huu.
10 years ago
BBCSwahili16 Dec
Waandamanaji wapambana na Polisi Mexico
Kitendawili hakijapata majibu kuhusu walipo Wanafunzi 43 waliopotea nchini Mexico
10 years ago
BBCSwahili01 Sep
Polisi wawatimua waandamanaji Pakistan
Vikosi vya usalama katika mji mkuu wa Pakistan ,Islamabad vimewaondoa waandamanaji kutoka makao makuu ya runinga ya kitaifa PTV.
10 years ago
BBCSwahili18 May
Polisi wakabiliana na waandamanaji Burundi
Polisi leo wamefyatua hewani risasi za moto katika kukabiliana na maandamano mapya ambayo yameanza maeneo kadhaa ya mji wa Bujumbura
Top 10
Tanzania Today
Today Breaking News,Tanzania World News
13-February-2025 in Tanzania