WANAJESHI,POLISI WAPIGANA KWA RISASI
Askari wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) na askari wa Jeshi la Polisi, wameshambuliana kwa silaha mbele ya raia na kusababisha baadhi ya maofisa waandamizi kujeruhiwa kwa risasi, baadhi yao vibaya.
Tukio hilo lilitokea juzi saa 11:00 jioni katika Kituo Kikuu cha Mabasi mjini Tarime.
Waliojeruhiwa katika tukio hilo ni askari JWTZ, Aloyce Filbert (24), aliyepigwa risasi mguuni na Mkuu wa Upelelezi Mkoa wa Kipolisi wa Tarime/Rorya, SSP Salum, aliyejeruhiwa kichwani pamoja askari kadhaa.
...
CloudsFM
Habari Zinazoendana
10 years ago
Mwananchi03 Oct
Wanajeshi, polisi watwangana risasi
10 years ago
CloudsFM31 Dec
9 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/RU-BxEuC-r7p*ZGFOG0kr9FHq2lRil08mIdsIfdHpduElPPGaix8ouXXRVQOmd-UiqwFmXJNUQjUTph4f76rpVnUEcp71XSL/Polisi.jpg?width=650)
UNDANI POLISI KUJIUA KWA RISASI
10 years ago
Tanzania Daima18 Oct
Polisi waua mwanamke kwa risasi
MWANAMKE mmoja Joyce Maragabu (65), amekufa baada ya kupigwa risasi kichwani na askari polisi waliokuwa kwenye jitihada ya kumkamata mtuhumiwa wa ujambazi, aliyekuwa mnadani Kijiji cha Iglansoni, Wilaya Ikungi mkoani...
10 years ago
Vijimambo06 Apr
Polisi ajiua kwa kujipiga risasi.
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/Susan-06April2015.jpg)
Askari wa Kituo cha Polisi Wilaya ya Sikonge mkoani Tabora, H 3416 PC Charles, amejiua kwa kujipiga risasi.
Baadhi ya wananchi wanaoishi jirani na kituo hicho cha polisi, Paulo Lazaro na Furahisha Felix, walisema tukio hilo lilitokea Aprili 4, mwaka huu, saa 1:00 usiku kituoni hapo.
“Suala hili limetushangaza, kwani sisi tulikuwa nyumbani. Ghafla tulisikia mlio wa bunduki katika kituo cha polisi. Tulipofika, tulimkuta askari huyo akiwa amekufa...
10 years ago
Mwananchi06 Apr
Polisi ajiua kwa risasi kituoni
10 years ago
Vijimambo18 Oct
Mwanamke auawa kwa kupigwa risasi na polisi
![](http://www.ippmedia.com/media/picture/large/singida-oct18-2014.jpg)
Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Iglansoni, ameuawa kwa kupigwa risasi kichwani kwa bahati mbaya na askari polisi waliokuwa katika jitihada za kumkamata mtuhumiwa wa ujambazi.
Aliyeuawa ni Joyce Maragabu (65), ambaye anadaiwa kupigwa risasi na askari hao waliokuwa wakijihami na kundi la watu waliotaka kuwavamia ili wasimkamate mhalifu.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Singida, Geofrey Kamwela, alisema askari hao walikuwa wanataka kumkamata, Nkida...
10 years ago
Mwananchi28 Oct
Majambazi yajeruhi polisi wawili kwa risasi
9 years ago
Global Publishers24 Dec
Polisi Wauana kwa Risasi Mwanza Wakiwa Lindoni
![1](http://globalpublishers.co.tz/wp-content/uploads/2015/12/146-1024x763.jpg)