Wafugaji Longido wampa Balozi ardhi ya bure
JAMII ya wafugaji wa kijiji cha Lesingeita, Mundarara wilayani Longido Mkoa wa Arusha, imekubali kutoa bure ardhi yao ya malisho kwa Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Batilda Burian ijengwe shule ya kimataifa iwezeshe watoto wao kupata elimu ya uhakika.
habarileo
Habari Zinazoendana
10 years ago
StarTV30 Dec
Wafugaji Longido kufufua majosho.
Na Ramadhani Mvungi,
Arusha.
Wafugaji katika Kata ya Tingatinga wilayani Longido mkoani Arusha wameanza mpango wa kufufua upya matumizi ya majosho ya kuogeshea mifugo.
Hatua hii inalenga kukabiliana na magonjwa yaliyokuwa yakisumbua mifugo kwa muda mrefu na kuwasababishia hasara kubwa.
Mwenyekiti wa umoja wa wafugaji wa Kata Tingatinga Ally Marandu aliiambia Startv iliyowatembelea wafugaji hao kuwa utaratibu unaotumika ni kwa kila mfugaji kuchangia kiasi cha fedha kwa kila...
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
10 years ago
Tanzania Daima22 Sep
Wafugaji wataka matumizi bora ya ardhi
ASILIMIA 75 ya watanzania ni wafugaji hivyo serikali imeombwa kuharakisha mpango wa upimaji matumizi bora ya ardhi ili kuepuka migogoro ya wakulima na wafugaji inayorudisha nyuma juhudi za maendeleo. Rai...
9 years ago
StarTV24 Dec
Kuondoa Migogoro Ya Ardhi TPCF yaitaka Serikali kuanzisha sera ya wafugaji
Mtandao unaoshughulika na utetezi wa haki za wafugaji hapa nchini umeitaka serikali kuwezesha upatikanaji wa sera ya ufugaji wa asili pamoja na kupima ardhi ya wafugaji ili kuondoa migogoro ya wafugaji na wakulima.
Aidha mtandao huo umeikumbusha serikali kuwa kutokutekeleza wajibu na kupelekea haki za binadamu kukiukwa ni kinyume cha sheria na uvunjifu wa mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu.
Akizungumza jijini Arusha katika ofisi za mtandao wa wafugaji Mkurugenzi wa mtandao huo...
10 years ago
Vijimambo23 Nov
Sakata la ardhi Loliondo: Wafugaji sasa watishia kuinyima kura CCM
Wamesema malengo hayo ya waziri yakitekelezwa wapo tayari kurudisha kadi zote za CCM na kuwaeleza wananchi wao katu wasiwapigie kura wagombea wote wa chama hicho.
Walisema serikali kupitia Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu,...
10 years ago
Vijimambo![](http://3.bp.blogspot.com/-cjZeISSAwCo/VTCd0st3fAI/AAAAAAAHRls/eLi62ud-r8g/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA ATEMBELEA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-cjZeISSAwCo/VTCd0st3fAI/AAAAAAAHRls/eLi62ud-r8g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mb5qAGS-oB4/VTCd2BdWoVI/AAAAAAAHRl0/1Qmt-SxorAw/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
10 years ago
Michuzi![](http://3.bp.blogspot.com/-cjZeISSAwCo/VTCd0st3fAI/AAAAAAAHRls/eLi62ud-r8g/s72-c/unnamed%2B(56).jpg)
BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA ATEMBELEA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI LEO JIJINI DAR
![](http://3.bp.blogspot.com/-cjZeISSAwCo/VTCd0st3fAI/AAAAAAAHRls/eLi62ud-r8g/s1600/unnamed%2B(56).jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-mb5qAGS-oB4/VTCd2BdWoVI/AAAAAAAHRl0/1Qmt-SxorAw/s1600/unnamed%2B(58).jpg)
10 years ago
GPL![](http://api.ning.com:80/files/Gk-Khs5Ug5Mf4qK74L8TENur09gXmW9hAG1rUSr62KdNhpD1bGl3l7XUpDy6ZVBXVfz5pbYRa-rBfnogYUT*Ul6t2X17KpiH/Ardhi1.jpg?width=650)
BALOZI WA CHINA NCHINI TANZANIA ATEMBELEA WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI LEO JIJINI DAR ES SALAAM