Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


Kuondoa Migogoro Ya Ardhi TPCF yaitaka Serikali kuanzisha sera ya wafugaji

 

Mtandao  unaoshughulika na utetezi wa haki za wafugaji hapa nchini  umeitaka serikali kuwezesha upatikanaji wa sera ya ufugaji wa asili pamoja na kupima  ardhi ya wafugaji  ili kuondoa migogoro ya wafugaji na wakulima.

Aidha mtandao huo umeikumbusha serikali kuwa  kutokutekeleza wajibu na kupelekea haki za binadamu kukiukwa ni kinyume cha sheria na uvunjifu wa mikataba ya kimataifa ya haki za binadamu.

Akizungumza jijini Arusha katika ofisi za mtandao wa wafugaji Mkurugenzi wa mtandao huo...

StarTV

Read more


Habari Zinazoendana

10 years ago

Dewji Blog

Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji

IMG_0113   Jaji Mh. Richard Mziray akitoa hukumu katika Mahakama ya wazi  katika Kesi zote Mbili ya Kiteto na Kilosa ,ambapo katika Kesi ya Wilaya ya Kiteto alitoa Maamuzi kwamba kulikuwa na umuhimu wa utekelezeji wa Amri ya Mahakama na kuheshimu Amri za Mahakama kuwa Mahakama ilisha tamka kuwa ile ni Hifadhi hivyo inatakiwa kulindwa na kuheshimiwa na ameongeza kuwa kama kungekuwa na kuzingatiwa kwa Sera za Ardhi basi kusingekuwa na Migogoro yote hiyo ametolea mfano pia maeneo ambayo yanatakiwa...

 

11 years ago

Habarileo

Viongozi wa dini watakiwa kuondoa migogoro ya ardhi

VIONGOZI wa dini wametakiwa kusaidiana na Serikali, kuondoa migogoro ya ardhi inayoendelea katika baadhi ya maeneo nchini. Akizungumza jijini Dar es Salaam jana katika uzinduzi wa Jukwaa la Ardhi Tanzania, Waziri Mkuu, Mizengo Pinda alisema makanisa na misikiti itumike vizuri kutatua matatizo ya migogoro ya ardhi.

 

10 years ago

Tanzania Daima

Kutokujua sera, sheria za ardhi huchangia migogoro

MIGOGORO mingi ya ardhi nchini inatokana na ushirikishwaji hafifu wa wananchi katika utungaji wa sera, sheria za ardhi au wakati wa kuifanyia marekebisho. Kauli hiyo ilitolewa na Mwanasheria wa Haki...

 

10 years ago

Mwananchi

Serikali imelala migogoro ya wakulima na wafugaji?

Mwaka 1994, niliulizwa swali hili nilipofanyiwa usaili wa kazi katika ofisi za Shirika la Chakula Duniani (FAO), jijini Rome nchini Italia. Jibu nililotoa halikukubalika.

 

11 years ago

Tanzania Daima

Serikali yashambuliwa kukithiri migogoro ya ardhi

MBUNGE wa Viti Maalumu, Moza Abeid (CUF), ameishambulia serikali na kueleza kuwa migogoro mingi ya ardhi ambayo inaonekana kupamba moto nchini inachangiwa kwa kiasi kikubwa na serikali. Moza alisema kuwa...

 

10 years ago

Habarileo

Kinana aibana serikali vifo migogoro ya ardhi

KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman KinanaKATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Abdulrahman Kinana ametaka viongozi wote wa serikali waliozembea na kusababisha kuendelea kutokea kwa mauji baina ya wakulima na wafugaji wilayani Kiteto kuwajibika haraka.

 

9 years ago

Global Publishers

Serikali yaandaa mkakati kukomesha migogoro ya ardhi

1Kutoka kushoto ni Mkurugenzi Msaidizi Idara ya Ukuzaji wa Viumbe Majini, Kajitanus Osewe, Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini, Dk. Abdu Hyghaimo na Ofisa Mawasiliano wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Judith Mhina.

2.Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo hapa nchini, Dk.Abdu Hyghaimo (wapili kushoto) akitoa ufafanuzi wa jambo.Mkurugenzi wa Huduma za Mifugo nchini, Dk. Abdu Hyghaimo (wapili kushoto) akitoa ufafanuzi wa jambo.

3.Wanahabari wakifuatilia mkutano huo. Wanahabari wakifuatilia mkutano huo.

SERIKALI kupitia Wizara ya Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, ipo mbioni kuandaa waraka wa matumizi endelevu ya ardhi utakaowezesha kupata suluhu...

 

10 years ago

Mwananchi

MAONI: Nini kinaikwaza Serikali kutatua migogoro ya ardhi?

>Hii siyo mara ya kwanza kwetu sisi kuihadharisha Serikali kuhusu kukithiri kwa migogoro ya ardhi kati ya wakulima na wafugaji katika maeneo mbalimbali nchini.

 

5 years ago

CCM Blog

OFISI ZA ARDHI ZA MIKOA ZATAKIWA KUWA NA DAFTARI LA MIGOGORO YA ARDHI

Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua ofisi ya ardhi ya mkoa wa Manyara jana. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara Alexzander Mnyeti na kushoto ni Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi Mary Makondo. Waziri wa Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi William Lukuvi akioongozwa na Kamishna Msaidizi wa Ofisi ya Ardhi mkoa wa Manyara Leonard Msafiri (kushoto) wakati wa uzinduzi wa ofisi ya ardhi ya mkoa huo jana. Kulia ni Mkuu wa mkoa wa Manyara...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani