Wafugaji Longido kufufua majosho.
Na Ramadhani Mvungi,
Arusha.
Wafugaji katika Kata ya Tingatinga wilayani Longido mkoani Arusha wameanza mpango wa kufufua upya matumizi ya majosho ya kuogeshea mifugo.
Hatua hii inalenga kukabiliana na magonjwa yaliyokuwa yakisumbua mifugo kwa muda mrefu na kuwasababishia hasara kubwa.
Mwenyekiti wa umoja wa wafugaji wa Kata Tingatinga Ally Marandu aliiambia Startv iliyowatembelea wafugaji hao kuwa utaratibu unaotumika ni kwa kila mfugaji kuchangia kiasi cha fedha kwa kila...
StarTV
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima01 Apr
Wafugaji Pera wahitaji majosho
WAFUGAJI wa vijiji vya Mbala, Pingo na Chamakweza, Kata ya Pera, wamesema chanzo cha kuzagaa mifugo na kusababisha migogoro baina yao na wakulima ni kutokana na ukosefu wa majosho. Walisema...
11 years ago
Habarileo04 Feb
Wafugaji Longido wampa Balozi ardhi ya bure
JAMII ya wafugaji wa kijiji cha Lesingeita, Mundarara wilayani Longido Mkoa wa Arusha, imekubali kutoa bure ardhi yao ya malisho kwa Balozi wa Tanzania nchini Kenya, Dk Batilda Burian ijengwe shule ya kimataifa iwezeshe watoto wao kupata elimu ya uhakika.
10 years ago
Dewji Blog02 Oct
Majaji waendesha mahakama ya wazi kusikiliza na kupokea malalamiko ya wakulima walionyang’anywa Ardhi,Wafugaji na Migogoro ya wakulima na wafugaji
![IMG_0113](http://dewjiblog.com/wp-content/uploads/2014/10/IMG_0113.jpg)
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
Kinapa yamaliza migogoro Longido
MIGOGORO ya wafugaji na wakulima katika Tarafa ya Enduimeti, Wilaya ya Longido, mkoani Arusha imedhibitiwa baada ya Hifadhi ya Taifa ya Mlima Kilimanjaro (Kinapa), kutoa elimu kwa makundi hayo ikiwamo...
11 years ago
Tanzania Daima01 Feb
LAAC kuwashughulikia watendaji Longido
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) inakusudia kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria baadhi ya watendaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha kutokana na kinachoelezwa...
10 years ago
Michuzi![](http://2.bp.blogspot.com/-4rt1CdIaf5g/VN0KL_DweBI/AAAAAAAHDXs/YULPnA8qA_8/s72-c/unnamed%2B(37).jpg)
Mh. Makalla ziarani Wilaya ya Longido
Katika ziara yake hiyo,alikutana na viongozi wa wilaya hiyo ya Longido na kuiagiza kampuni ya Haward Humfrey iliyofanya usanifu mradi wa maji wa Kisima cha Tembo ichukuliwe hatua za kisheria ikiwemo kutopewa kazi zozote za miradi ya maji nchini kwa kusanifu mradi wa maji wa thamani ya shilingi milioni 253, mradi ambao...
9 years ago
Mwananchi11 Nov
‘Mambo 10 niliyoshuhudia katika uchaguzi Longido’
9 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-ZqaMRSAwuXo/Vd-lJkjONCI/AAAAAAAD4yU/mxjs0rUgY70/s72-c/1.jpg)
MAMA SAMIA, LONGIDO NA MONDULI LEO
![](http://4.bp.blogspot.com/-ZqaMRSAwuXo/Vd-lJkjONCI/AAAAAAAD4yU/mxjs0rUgY70/s640/1.jpg)
![](http://3.bp.blogspot.com/-2UZ9WBH0nPQ/Vd-lJiTtUPI/AAAAAAAD4yQ/q8WscEp205g/s640/2.jpg)
![](http://4.bp.blogspot.com/-wjrqf85hDNU/Vd-lLG1irSI/AAAAAAAD4yk/Twwx8VIF5BQ/s640/3.jpg)
10 years ago
TheCitizen14 Dec
Longido registers only half of number of voters