LAAC kuwashughulikia watendaji Longido
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) inakusudia kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria baadhi ya watendaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha kutokana na kinachoelezwa...
Tanzania daima
Habari Zinazoendana
11 years ago
Tanzania Daima07 Jun
Bendera kuwashughulikia watumishi wezembe
MKUU wa Mkoa wa Morogoro, Joel Bendera, amewaagiza wakurugenzi wa wilaya mkoani hapa kupeleka haraka taarifa za watumishi wazembe na wasio waadilifu ofisini kwake, ili awachukulie hatua za kisheria. Bendera...
11 years ago
Habarileo21 Mar
Sitta kuwashughulikia wanaopinga Muungano
MWENYEKITI wa Bunge Maalumu, Samuel Sitta, amesisitiza msimamo wake wa kuwashughulikia wajumbe wa Bunge hilo wenye nia ya kuvunja Muungano uliodumu kwa miaka 50 sasa. Awali kabla ya kusisitiza msimamo wake, Mjumbe wa Bunge hilo, Mchungaji Christopher Mtikila, alidai kuwa kauli hiyo ilimlenga yeye kumtisha kutokana na msimamo wake wa kupinga Muungano.
11 years ago
Mwananchi18 Dec
Kinachofanyika ni sawa na kuidharau LAAC
10 years ago
IPPmedia12 Apr
LAAC Chairman Rajab Mbarouk
IPPmedia
IPPmedia
Development projects have failed to take off this financial year due to poor collection of revenues and government's overspending on unplanned undertakings coupled with freezing of funds by donors. With only two months remaining before the 2015/16 fiscal ...
10 years ago
AllAfrica.Com08 Jan
LAAC Snubs Kinondoni Projects
AllAfrica.com
THE Local Authorities' Accounts Committee (LAAC) has refused to conduct inspections on development projects undertaken by the Kinondoni Municipality in Dar es Salaam over financial irregularities. This is after it came to light that 11 out of 15 projects ...
10 years ago
Dewji Blog25 Jul
CHADEMA kuwashughulikia wanaokusanya vitambulisho vya kura
Mjumbe wa Kamati kuu ya Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, akiongea na wanachama na wananchi kwa ujumla kwenye mkutano wa kuwatambulisha watia nia ya kugombea nafasi za ubunge na udiwani katika jimbo la Singida magharibi,mkutano uliofanyika katika Kijiji cha Puma,tarafa ya Ihanja
Baadhi ya watia nia ya udiwani na ubunge katika jimbo la Singida magharibi wakisakata ngoma za asili baada ya kumpokea mgeni rasmi katika mkutano huo.
Na Jumbe Ismailly,Ikungi
CHAMA...
10 years ago
StarTV02 Dec
CCM kuwashughulikia waliojiandikisha zaidi ya mara moja.
Na Sudi Shaabani, Mwanza.
Chama cha Mapinduzi CCM kimeahidi kuwachukulia hatua za kisheria wale wote watakaobainika kuwa wamejiandikisha zaidi ya mara mbili katika daftari la mkazi hali iliyosababisha zoezi la uandikishaji kutofikia malengo yake kwa asilimia mia.
Mpaka sasa CCM wilaya ya Nyamagana mkoani Mwanza kimewabaini watu kadhaa ambao wamehusika na tukio hilo maarufu kama mamluki na tayari wamefikishwa mahakamani kwa hatua za kisheria.
Zoezi la uandikishaji katika daftari la mkazi...
9 years ago
StarTV22 Dec
Waziri Kitwanga kuwashughulikia wahusika madawa ya kulevya.
Waziri wa mambo ya ndani, Charles Kitwanga amesema hataogopa kushughulika na mtu au kundi lolote litakalobainika kuhusika na biashara ya dawa za kulevya na kuliagiza jeshi la polisi kuboresha mfumo utakaovunja mtandao wa biashara hiyo, bila kujali nguvu za kifedha ama mamlaka waliyonayo.
Alikuwa akizungumza na waandishi wa habari, baada ya kikao na viongozi waandamizi wa jeshi la polisi jijini Dar es salaam ambapo akaagiza kuwepo kwa mfumo madhubuti utakawatia wote nguvuni.
Amesema,...
10 years ago
Vijimambo![](http://4.bp.blogspot.com/-C1W8maa3KbQ/VRv1iZmUHpI/AAAAAAADR-s/4d5M9OzG3WU/s72-c/4112.jpg)
SERIKALI KUWASHUGHULIKIA WANANCHI WANAOKWEPA KULIPA KODI
![](http://4.bp.blogspot.com/-C1W8maa3KbQ/VRv1iZmUHpI/AAAAAAADR-s/4d5M9OzG3WU/s1600/4112.jpg)
![](http://2.bp.blogspot.com/-BXdGT_himAQ/VRv2BxJOuOI/AAAAAAADR_E/BgZIRYoFphM/s1600/3141.jpg)