Jobs

Sales Representative

NORTH AMERICA ALIGN WORKERS EMPLOYMENT PROGRAM (NAAWEP)
Deadline: Oct 26, 2105




POPULAR ON YOUTUBE


LAAC Chairman Rajab Mbarouk


IPPmedia
LAAC Chairman Rajab Mbarouk
IPPmedia
Development projects have failed to take off this financial year due to poor collection of revenues and government's overspending on unplanned undertakings coupled with freezing of funds by donors. With only two months remaining before the 2015/16 fiscal ...

IPPmedia

Read more


Habari Zinazoendana

9 years ago

Mwananchi

Pingamizi la Mbarouk dhidi ya Nundu latupwa kortini

Mahakama Kuu Kanda ya Tanga imetupilia mbali maombi ya Mbunge wa Tanga Mjini, Mussa Mbarouk (CUF) kutaka kufuta kesi iliyowasilishwa na Omari Nundu (CCM) kupinga matokeo ya uchaguzi ya Oktoba 25.

 

10 years ago

Raia Tanzania

Wabunge wa CCM wametishwa kupitisha muswada wa gesi — Mbarouk

HIVI karibuni Bunge lilichafuka baada ya wabunge wa upinzani kugomea miswada ya mafuta na gesi kwa walichokieleza kuwa imeletwa kwa dharura. Mwandishi Wetu MARY VICTOR, amefanya mahojiano na mmoja wa wabunge wa upinzani kuelezea ni kwa nini walikuwa wanagomea miswada hiyo. Endelea…

Raia Tanzania: Kwa hiki kilichotokea bungeni kwa wabunge wa upinzani hususan wanaounda Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), kupinga Muswada wa Sheria ya Petroli, Muswada wa Usimamizi wa Mapato ya Mafuta na...

 

10 years ago

Michuzi

Kumbukumbu ya Commando Luteni Rajab Ahmed Mlima

 Leo katika kukumbuka siku ya Commando Luteni Rajab Ahmed Mlima, katika kumuenzi  wanafamilia wanafanya usajili wa "  Luteni RAJAB Ahmed MLIMA FOUNDATION."
Commando Luteni Rajab Mlima akiwa katika Special Forces ya Tanzania ndani ya Jeshi la kulinda Amani la Umoja wa Mataifa alifariki dunia katika mapambano na waasi wa M23 siku chake kabla ya kutomezwa kwa kundi hilo huko Kiwanja nchini DRC.
Luteni Rajab Mlima Foundation, itasimamia na kuendeleza mambo muhimu kwa jamii ambayo Luteni Rajab...

 

10 years ago

Michuzi

mdau Zainab Rajab Mwinyijuma alamba nondozzzz uingereza

 Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa anasubiria kuitwa kupokea nondozzz yake ya   "BACHELOR OF SCIENCE IN NURSING" katika  Chuo Kikuu cha The University Of Northampon Uingerezea akiwa na wahatimu wenziwe wikiendi hii  Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa na mai hazbendi wake Mbegu Diego na familia yao baada ya kulamba nondozzzz yake Zainab Rajab Mwinyijuma akiwa na mama yake mzazi baada ya kulamba nondozzzz yake

 

11 years ago

Michuzi

RAIS KIKWETE AOMBOLEZA KIFO CHA Alhaji Mahami Rajab Kundya

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete ametuma salamu za rambirambi kwa Mkuu wa Mkoa wa Singida, Mheshimiwa Dkt. Parseko V. Ole Kone kuomboleza kifo cha aliyepata kuwa Naibu Waziri, Mbunge na Katibu Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA), Mheshimiwa Alhaji Mahami Rajab Kundya, aliyefariki dunia jana, Jumapili, Julai 27, 2014 mjini Zanzibar.
Katika salamu zake, Rais Kikwete amesema kuwa ni jambo la kusikitisha kuwa taifa limempoteza Mzee Kundya...

 

11 years ago

Mwananchi

Kinachofanyika ni sawa na kuidharau LAAC

Agosti 19, mwaka huu, Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC), ilitangaza kugundua mtandao wa ufisadi unaoshirikisha wakurugenzi 70 wa halmashauri mbalimbali hapa nchini.

 

10 years ago

AllAfrica.Com

LAAC Snubs Kinondoni Projects


LAAC Snubs Kinondoni Projects
AllAfrica.com
THE Local Authorities' Accounts Committee (LAAC) has refused to conduct inspections on development projects undertaken by the Kinondoni Municipality in Dar es Salaam over financial irregularities. This is after it came to light that 11 out of 15 projects ...

 

11 years ago

Tanzania Daima

LAAC kuwashughulikia watendaji Longido

KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali za Mitaa (LAAC) inakusudia kuwafikisha kwenye vyombo vya sheria baadhi ya watendaji katika Halmashauri ya Wilaya ya Longido mkoani Arusha kutokana na kinachoelezwa...

 

5 years ago

CCM Blog

BUNGE LAENDELEA KUJADILI TAARIFA YA LAAC

Na.Faustine Gimu Galafoni,Dodoma.Bunge la Bajeti  ,mkutano wa 19 kikao cha 38 limeendelea kujadili hoja ya Kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za serikali za Mitaa[LAAC] kuhusu ripoti ya Mkaguzi na mdhibiti mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) huku serikali ikishauriwa kuanzisha chuo cha Wizi ili kukabiliana na ubadhilifu wa mali za umma.
Wakitoa michango ya maoni  mbalimbali  leo Mei,28,2020 juu ya Ripoti ya CAG iliyowasilishwa bungeni jijini Dodoma na kamati ya kudumu ya Bunge ya Hesabu za...

 

Share

Magazeti ya Leo

Stay updated, Sign up

Habari za Mikoani